Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

Safi sana sio nyie tuu Mikoa kadhaa imefanya hivyo ikiwemo Mbeya..

Na mwaka wa Fedha uliomalizika, Tamisemi wamevuka malengo yao ya makusanyo kwa mara ya kwanza..

Sera za Rais Samia Kufungua Nchi zimelipa.
 
Miaka iliyolita kwa nini hiyo bajeti ndogo waliyojiwekea hawakuifikisha?
 
Pesa zilikuwa zinaliwa na waambata wa Mwendazake na pia biashara zilikufa nyingi kipindi hicho ila sasa zimefufuliwa..

Kwani huoni hata Bei ya pamba mwaka huu ni kubwa kuliko miaka mingine? The same to Mchele na Mafuta/alizeti.
 
Nilitaka nikuite jina fulani nikaamua kukusamehe. Kwa hiyo mtu akikupa chabgamoto anakuwa mwizi, mjinga kama wewe au?
Hakuna changamoto uliyotoa hapo zaidi ya kijiba cha roho..

Hapo si alikuwepo mliyemuita wa Ukweli bwana Mtaka sasa kamuulize kwa nini alishindwa atakupa jibu moja tuu kwamba Jiwe alikuwa hasomeki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…