Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,522
- 643
Napenda Sana mapambano yako kadaHakuna changamoto uliyotoa hapo zaidi ya kijiba cha roho..
Hapo si alikuwepo mliyemuita wa Ukweli bwana Mtaka sasa kamuulize kwa nini alishindwa atakupa jibu moja tuu kwamba Jiwe alikuwa hasomeki.
Umeelewa nilichoandika au unakurupuka km mchawi, umesoma sababu nilizozitaja,Miaka iliyolita kwa nini hiyo bajeti ndogo waliyojiwekea hawakuifikisha?
Simiyu imekuwa vizuri sana kwenye inshu ya MapatoUmeelewa nilichoandika au unakurupuka km mchawi, umesoma sababu nilizozitaja,
Sawa ni ndogo,Wanajiwekea budget ndogo ukilinganisha na vyanzo vyao vya mapato alafu unasema wavunja record, ni sawa wewe ujiwekee mauzo ya duka lako kwa siku ni 20. Lafu duka lenyewe ualisia mauzo ni elfu hamsini kwa siku , ukipata elfu hamsini unajisemea umevunja records wakati huo ndio ualisia
Sawa sawasimuyu mlipuko wa madini yadhahabu utaibeba sana kama usimamizi utakua bora na imara......
kwa sasa wawekezaji wengi kutoka shinyanga na Geita wanakimbilia huko.... ni swala la muda tutaanza kuiona Geita ikishuka sana kimapato na simiyu ikipanda.
Daaah, nchi ngumu sana hiiHuu utapeli mnayofanyiwa wa TZ na mama yenu SSH,huyo mama angekuwa anajituma kutembelea wilaya nchini angetonywa ukweli kuwa hao Simiyu na Tamisemi hayo mapato ni waongo wameingiza fedha za uviko kama mapato ya ndani kwa kuzihesabia Toka kwenye kata zilikopokelewa kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya shule na afya hii ni kashfa inampa jeuri bashungwa aombe kununua magari ya ma DC ni usanii mtupu
Kazi na iendelee, Tuko salama sana na Rais SamiaMkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,
Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.
Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia 125% ikifuatiwa na Meatu na Bariadi vijijini zenye asilimia 110% kila moja.
Itilima wao waliokuwa wamwisho kimapato wakati wote wamekusanya 106%
Huku Bariadi Mjini yenye asilimia 103% huku Busega ikifunga kwa asilimia95.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ametoa taarifa hiyo akiwapongeza wakurugenzi wote wa Halmashauri chini yake kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuonesha ufanisi katika makusanyo na matumizi.
View attachment 2287122
#SIMIYUTUKO TAYARI KUHESABIWA WEWEJE?
Mama, We love youKazi na iendelee, Tuko salama sana na Rais Samia
Safi Sana hiiMkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,
Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.
Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia 125% ikifuatiwa na Meatu na Bariadi vijijini zenye asilimia 110% kila moja.
Itilima wao waliokuwa wamwisho kimapato wakati wote wamekusanya 106%
Huku Bariadi Mjini yenye asilimia 103% huku Busega ikifunga kwa asilimia95.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ametoa taarifa hiyo akiwapongeza wakurugenzi wote wa Halmashauri chini yake kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuonesha ufanisi katika makusanyo na matumizi.
View attachment 2287122
#SIMIYUTUKO TAYARI KUHESABIWA WEWEJE?