TANZIA Simon Amon Mwanguku, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara (1983 -1992), Afariki Dunia

TANZIA Simon Amon Mwanguku, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara (1983 -1992), Afariki Dunia

Teknocrat

Confirmed by Ambele Mwanguku, mtoto wa Mzee Simon Mwanguku.

Mzee Simon Mwanguku amefariki baada ya kupokea habari za kifo cha binti yake Julie.

Ambele Mwanguku ana hali ngumu sana.

Amempoteza dada yake (Julie Mwanguku) na baba yake (Simon Mwanguku) ndani ya wiki moja.

Pole nyingi kwa familia ya Mwanguku.
Mzee Mwanguku anaagwa kesho kwa maziko yatakayofanyika Mbeya siku ya Ijumaa.

Siju hiyo hiyo ya Ijumaa mwili wa Julie Mwanguku utapokelewa JNIA muda ya ahsubuhi kwa taratibu za mazishi.

Mungu awapokee marehemu wetu na kuwapa pumziko kwa nafsi zao.

Poleni mlioguswa na msiba huu mzito
 
Ila Wanyakusya bana wanapenda sana kuishi jijini hata wakistaafu hawarudi makwao, ni wachache sana wamerudi kijijini kama Prof. Mwandosya anayeishi Matema Beach Kyela.
Ni Kweli kabisa Hadi wengine wanapelekwa kuzikwa DAM, ARUSHA, DODOMA, ZANZIBAR, N.K. Wanyaki mnaogopa Nini kwenu hamkujenga au Nini?
 
Back
Top Bottom