TANZIA Simon Amon Mwanguku, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara (1983 -1992), Afariki Dunia

TANZIA Simon Amon Mwanguku, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara (1983 -1992), Afariki Dunia

Na aliuwa active Tiktok hadi siku 10 hivi nyuma. Nini kilimtokea?
R.I.E.P. Julie
Alifariki usingizini, apparently blood pressure.

Masikini kaenda kumuangalia mama yake Bulgaria, akitokea Marekani, kafariki huko usingizini.

Sasa Wamarekani wanataka mwili urudishwe Marekani kwanza kabla haujapelekwa Tanzania (mtu wao). Inaonekana mwili wa Julie kurudi bongo utachukua muda.

Na huko Tanzania baba ndiyo kashindwa kuhimili habari za msiba, kumekuwa na msiba juu ya msiba.

Inawezekana baba akazikwa kabla ya Julie.

Familia inapitia wakati mgumu sana sasa hivi.
 
Alifariki usingizini, apparently blood pressure.

Masikini kaenda kumuangalia mama yake Bulgaria, akitokea Marekani, kafariki huko usingizini.

Sasa Wamarekani wanataka mwili urudishwe Marekani kwanza kabla haujapelekwa Tanzania (mtu wao). Inaonekana mwili wa Julie kurudi bongo utachukua muda.

Na huko Tanzania baba ndiyo kashindwa kuhimili habari za msiba, kumekuwa na msiba juu ya msiba.

Inawezekana baba akazikwa kabla ya Julie.

Familia inapitia wakati mgumu sana sasa hivi.
Maisha haya..dah
 
RIP comrade!

Niamini kwamba yule padre na wewe mliotangulia ni Mungu TU kapenda na sio vurugu hizi za siasa za kuungana mikono Kwa wagombea wakubwa wakubwa!!

"Mawazo huru TU"
 
Alifariki usingizini, apparently blood pressure.

Masikini kaenda kumuangalia mama yake Bulgaria, akitokea Marekani, kafariki huko usingizini.

Sasa Wamarekani wanataka mwili urudishwe Marekani kwanza kabla haujapelekwa Tanzania (mtu wao). Inaonekana mwili wa Julie kurudi bongo utachukua muda.

Na huko Tanzania baba ndiyo kashindwa kuhimili habari za msiba, kumekuwa na msiba juu ya msiba.

Inawezekana baba akazikwa kabla ya Julie.

Familia inapitia wakati mgumu sana sasa hivi.

Ooh jamani very sad, ndio nilimuona na Mama yao.
Mola awape wanafamilia nguvu kipindi hiki kigumu
 
RIP.

Huyu mzee si amefiwa na binti yake Julie wiki iliyopita tu?

Au ndiyo mstuko wa msiba?
Mi.kweli kabisa....misiba 2 kwa mpigo....Julie mtoto mdogo wake Marehemu pia....utu uzima ....sasa 1938 to Date ....parefu sana apumzike kwa amani zote
 
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Mzee Ramadhani Nyamka anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1983 hadi 1992 (Pichani), Simon Amon Mwanguku kilichotokea leo Alfajiri tarehe 28 Julai, 2024 katika Hospitali Kuu ya Jeshi la Magereza, KMKGM Ukonga, jijini Dares Salaam.

Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Familia linaendelea kuratibu shughuli zote za mazishi ya Marehemu.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Segerea, Migombani.


==================
Simon Amon Mwanguku ni nani?

Amezaliwa Tukuyu katika Kijiji kinaitwa Bujenga huko mkoani Mbeya mwaka 1938. Alianza Shule ya Masoko mwaka 1948, shule hiyo ilikuwa kilomita kadhaa kutoka Tukuyu, karibu na Ziwa liitwalo Masoko. Alisoma hapo kwa tokea 1948 hadi 1951.

Baadaye alienda Mpuguso Middle School, shule pekee iliyokuwa inaunganisha wanafunzi wa Rungwe nzima. Wakati ule Rungwe ilikuwa ni pamoja na Ileje, Kyela, na sasa Halmashauri ya Busokelo.

Baada ya Mpuguso Middle School alikwenda Malangali mkoani Iringa mwaka 1954 na mwaka 1960 alimaliza Darasa la 12.

Wakati akiwa Malangali, alikutana na watu wawili ambao walikuwa ni inspekta wa polisi, kwa udadisi yeye na wenzake wakawauliza kuhusu utaratibu wa kujiunga na Jeshi la Polisi. Na kilichowavutia hadi kuuliza ilikuwa ni ‘smartness’ ya mabwana wale.

Baadaye alikwenda kujiunga na mafunzo na mwaka 1961 alijiunga na Jeshi la Magereza. Alipita vyeo kadhaa katika jeshi hilo lakini safari yake ya uongozi ndani ya jeshi hilo ilianza mwaka 1967, mkoani Morogoro.

SAFARI YA UONGOZI
  • Mkuu wa Gereza Wami – (1967)
  • Mkuu wa Gereza la Molo, Sumbawanga (1967 – 1976)
  • Mkuu wa Gereza Moshi (1976-1979)
  • Kamishna wa Jeshi la Magereza (1979 – 1983)
  • Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza (1983 – 1992)
Ushimen sorry for the loss of your classmate
 
Alifariki usingizini, apparently blood pressure.

Masikini kaenda kumuangalia mama yake Bulgaria, akitokea Marekani, kafariki huko usingizini.

Sasa Wamarekani wanataka mwili urudishwe Marekani kwanza kabla haujapelekwa Tanzania (mtu wao). Inaonekana mwili wa Julie kurudi bongo utachukua muda.

Na huko Tanzania baba ndiyo kashindwa kuhimili habari za msiba, kumekuwa na msiba juu ya msiba.

Inawezekana baba akazikwa kabla ya Julie.

Familia inapitia wakati mgumu sana sasa hivi.
Dah!
 
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Mzee Ramadhani Nyamka anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1983 hadi 1992 (Pichani), Simon Amon Mwanguku kilichotokea leo Alfajiri tarehe 28 Julai, 2024 katika Hospitali Kuu ya Jeshi la Magereza, KMKGM Ukonga, jijini Dares Salaam.

Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Familia linaendelea kuratibu shughuli zote za mazishi ya Marehemu.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Segerea, Migombani.


==================
Simon Amon Mwanguku ni nani?

Amezaliwa Tukuyu katika Kijiji kinaitwa Bujenga huko mkoani Mbeya mwaka 1938. Alianza Shule ya Masoko mwaka 1948, shule hiyo ilikuwa kilomita kadhaa kutoka Tukuyu, karibu na Ziwa liitwalo Masoko. Alisoma hapo kwa tokea 1948 hadi 1951.

Baadaye alienda Mpuguso Middle School, shule pekee iliyokuwa inaunganisha wanafunzi wa Rungwe nzima. Wakati ule Rungwe ilikuwa ni pamoja na Ileje, Kyela, na sasa Halmashauri ya Busokelo.

Baada ya Mpuguso Middle School alikwenda Malangali mkoani Iringa mwaka 1954 na mwaka 1960 alimaliza Darasa la 12.

Wakati akiwa Malangali, alikutana na watu wawili ambao walikuwa ni inspekta wa polisi, kwa udadisi yeye na wenzake wakawauliza kuhusu utaratibu wa kujiunga na Jeshi la Polisi. Na kilichowavutia hadi kuuliza ilikuwa ni ‘smartness’ ya mabwana wale.

Baadaye alikwenda kujiunga na mafunzo na mwaka 1961 alijiunga na Jeshi la Magereza. Alipita vyeo kadhaa katika jeshi hilo lakini safari yake ya uongozi ndani ya jeshi hilo ilianza mwaka 1967, mkoani Morogoro.

SAFARI YA UONGOZI
  • Mkuu wa Gereza Wami – (1967)
  • Mkuu wa Gereza la Molo, Sumbawanga (1967 – 1976)
  • Mkuu wa Gereza Moshi (1976-1979)
  • Kamishna wa Jeshi la Magereza (1979 – 1983)
  • Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza (1983 – 1992)
Enzi hizo kulikuwa na Mwanguku Cup.
 
Back
Top Bottom