Teknocrat
Confirmed by Ambele Mwanguku, mtoto wa Mzee Simon Mwanguku.
Mzee Simon Mwanguku amefariki baada ya kupokea habari za kifo cha binti yake Julie.
Ambele Mwanguku ana hali ngumu sana.
Amempoteza dada yake (Julie Mwanguku) na baba yake (Simon Mwanguku) ndani ya wiki moja.
Pole nyingi kwa familia ya Mwanguku.