Simon Msuva kubali ukweli, wewe soka la kimataifa basi!

Hapo wakati mpo kitandani unamuuliza umri wake alikuambia kiroho safi. Leo amekuacha unakuja anika umri wake. Wanawake..... Hatari sana nyie.
 
Hapo wakati mpo kitandani unamuuliza umri wake alikuambia kiroho safi. Leo amekuacha unakuja anika umri wake. Wanawake..... Hatari sana nyie.
Naona umeamua kunitusi bila sababu mkuu wangu. Uhuru wa maoni uko wapi 😁?
 
Familia yako utailisha wewe Mkuu? Muache apambanie kombe, ghorofa lake pale Geza bado hajamaliza vizuri
 
Naona umeamua kunitusi bila sababu mkuu wangu. Uhuru wa maoni uko wapi 😁?
Daaah.... Pole sikudhani ni wewe. Anyway.... Nisamehe tu nikikutana na watu wastaarabu hivi moyo wangu unaumia sana.... Tupo pamoja. Wewe ni mwanaume. Wangekuwa wale wengine ningeyaoga ile mbaya... Halafu ngekuwa nacheka tu.
 
Msuva na Karim Benzema ni kama mtu na mkewe siku hizi ni wameisha hatari. Tena kheri hata ya msuva anajikakamua huyo benzema wa uarabuni ndo Uozo mtupu anakula hela za Dizeli(mafuta) bure kabsa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ushauri mzuri, arudi amalizie soka na uto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…