Simon Rwamugila(Omutwale): Nyerere alipewa u-Head Prefect akatuchanganya akili Tabora Boys

Simon Rwamugila(Omutwale): Nyerere alipewa u-Head Prefect akatuchanganya akili Tabora Boys

Kumbe Nyerere michezo ya kubadili matokeo ya uchaguzi hajaanza Zanzibar.

"Msimamo wa Nyerere. Msimamo wa Nyerere. Ni kipaji cha mwenyezi Mungu baaba, kapewa tangia tumboni, kabla hajazaliwa"
Nyerere akaadika 7 kati ya 50, alafu akauliza wanaomtaka huyu mwingine aliyekuwa chaguo la mwalimu wakanyoosha wawili Nyerere ankumbuka aliandika 29 alafu wanaomtaka wa tatu akaandika alafu zilizobaki kaandika hawakunyoosha maana ilikuwa vigumu kumbishia maana walikuwa wameinamisha vichwa, akawa amefanikiwa kubalance mambo

HAKA KATABIA KUMBE ALIKUWA NAKO TOKA UJANANI HADI UZEENI
 
Back
Top Bottom