Simon Sirro uliwabipu majambazi, wamekupigia umebaki unahaha

Simon Sirro uliwabipu majambazi, wamekupigia umebaki unahaha

Sirro ndio aliambiwa hivyo na ni ile siku Gwajima Yuko pale central afu waumini wake wakaenda pale nje ya kituo cha police wakaimba nyimbo za dini usiku kucha.
Una hakika? Jaribu kutoa taarifa sahihi.
 
Sirro ndio aliambiwa hivyo na ni ile siku Gwajima Yuko pale central afu waumini wake wakaenda pale nje ya kituo cha police wakaimba nyimbo za dini usiku kucha.
Sio sirro ni ernest aliekua Igp ,wafuasi waliokua wakienda mahakaman ni wamanji ambao ni mashabik wayanga. Usitudangany
 
Ni Siro aliyeambiwa I wish I could be IGP au ni Ernest Mangu?

Kumbukumbu Zangu zinaniambia alikuwa Mangu, na baada ya muda mfupi tokea kauli hiyo, alipewa ubalozi Rwanda na ndipo Siro akapewa u-IGP.
Kauli hii ilitolewa na Hayati Magufuli akionya vituo vya polisi kuvamiwa na askari kuuwawa/kunyang'anywa silaha. Aliagiza wakiona jambazi anasilaha "askari wanatakiwa wamnyang'anye silaha hiyo haraka haraka..." ... "Ninaposema haraka haraka mnanielewa. Kwa nini jambazi aende mahali akafanye ujambazi halafu polisi mshindwe kumnyang’anya silaha yake haraka. Na nyinyi mnazo bunduki na risasi mnazo? ...."
 
Sirro IGP. Magufuli aliwahi kukwambia. Namnukuu.. " I wish I kudu bii IGP"...

Wki hizi mbili nimekaa nikiitafakari kauli ile ya Hayati. Alipo isema awali..wengi tulihisi amekudhalilisha...amekudharau na anaingilia mamlaka. Tulikuonea huruma.

Kumbe hukustahili kuonewa huruma hata kidogo. Ukiwa ktk kipindi cha dk 45 ITV na Farhia..

Ulisema hivi... " watanzania wawe na silaha majumbani mwao... Wajilinde. Na sio kuwa tu na masofa na maTV ndani"

Mtangazaji akakuuliza unamaanisha watu wachukue sheria mikononi... Ukajibu kwa kusisitiza... "kabisa kabisa"

Sasa unaona yanayotokea... Majamba sasa yanatuwahi.. Yao yana silaha za moto.. Sisi tuna mapanga. Umeona shida uliyotuletea.

Alafu umebaki una haha. Yani hujui nini ufanye. Alafu bado upo ofisini.!?

Rais Samia muondoe huyu mtu haraka.

"I wish I could be IGP" JPM..

Nimemuelewa sirro ,alisema kwa nia njema ,ndani lazima uwe na hata kijipanga cha sekf defence.

Hao majambazi kama yamebipu soon mtasikia yatakavyoanza kula vyuma.

Majambazi wanalostisha hawafai kuishi.
 
Sirro IGP. Magufuli aliwahi kukwambia. Namnukuu.. " I wish I kudu bii IGP"...

Wki hizi mbili nimekaa nikiitafakari kauli ile ya Hayati. Alipo isema awali..wengi tulihisi amekudhalilisha...amekudharau na anaingilia mamlaka. Tulikuonea huruma.

Kumbe hukustahili kuonewa huruma hata kidogo. Ukiwa ktk kipindi cha dk 45 ITV na Farhia..

Ulisema hivi... " watanzania wawe na silaha majumbani mwao... Wajilinde. Na sio kuwa tu na masofa na maTV ndani"

Mtangazaji akakuuliza unamaanisha watu wachukue sheria mikononi... Ukajibu kwa kusisitiza... "kabisa kabisa"

Sasa unaona yanayotokea... Majamba sasa yanatuwahi.. Yao yana silaha za moto.. Sisi tuna mapanga. Umeona shida uliyotuletea.

Alafu umebaki una haha. Yani hujui nini ufanye. Alafu bado upo ofisini.!?

Rais Samia muondoe huyu mtu haraka.

"I wish I could be IGP" JPM..
Acha chuki zi kienyeji kenge wewe. Sirro akitemguliwa wewe hutoteuliwa kuwa IGP.
 
Alichoongea ni sawa na angesema nunueni makomeo imara, polisi hawawezi kuwahudumia muda wote, kisha ubeze.

Kuna vitu tukituliza akili na kuvifanyia kazi matokeo yake ni mazuri sana.

Sasa mfano unaambiwa, ubebaji wa pesa kwenge bahasha za khaki ni hatari kwako, unahoji kazi ya polisi ni ipi?? Ni tatizo kabisa.
 
Ulisema hivi... " watanzania wawe na silaha majumbani mwao... Wajilinde. Na sio kuwa tu na masofa na maTV ndani"

Mtangazaji akakuuliza unamaanisha watu wachukue sheria mikononi... Ukajibu kwa kusisitiza... "kabisa kabisa"

Sasa unaona yanayotokea... Majamba sasa yanatuwahi.. Yao yana silaha za moto.. Sisi tuna mapanga. Umeona shida uliyotuletea.

Tuliposema hafai kuwa IGP kuna watu walitushambulia kwa maneno humuhumu jukwaani, na wengine wamekwenda mbali na kusema tunataka hata barabarani atuvushe Siro, hata simu zetu atulindie Siro, natamani waje waingiliwe na majambazi ili waelewe maana ya kuhitaji Jeshi la polisi lijipange, kazi ya ulinzi wa raia na mali zao ni wajibu wa polisi
 
Sirro IGP. Magufuli aliwahi kukwambia. Namnukuu.. " I wish I kudu bii IGP"...

Wki hizi mbili nimekaa nikiitafakari kauli ile ya Hayati. Alipo isema awali..wengi tulihisi amekudhalilisha...amekudharau na anaingilia mamlaka. Tulikuonea huruma.

Kumbe hukustahili kuonewa huruma hata kidogo. Ukiwa ktk kipindi cha dk 45 ITV na Farhia..

Ulisema hivi... " watanzania wawe na silaha majumbani mwao... Wajilinde. Na sio kuwa tu na masofa na maTV ndani"

Mtangazaji akakuuliza unamaanisha watu wachukue sheria mikononi... Ukajibu kwa kusisitiza... "kabisa kabisa"

Sasa unaona yanayotokea... Majamba sasa yanatuwahi.. Yao yana silaha za moto.. Sisi tuna mapanga. Umeona shida uliyotuletea.

Alafu umebaki una haha. Yani hujui nini ufanye. Alafu bado upo ofisini.!?

Rais Samia muondoe huyu mtu haraka.

"I wish I could be IGP" JPM..
Acha kelele,ingia kazini fanya kaxi kama huna akili nzuri,kila mtu afanye kaxi,axha kulia lia,kazi ya majambazi yatakutana na Siro
 
Wapunguze mlolongo wa vibali kwa watu kumiliki silaha, waongeze askari wa doria mitaani badala ya kuwajaza barabarani kuchukua ya kubrashia viatu.
Hawa askari wa doria za usiku wawe waadili, maana kuna doria zingine zina makando kando mengi sana.

Jeshi letu la Polisi Tanzania liko vizuri na wanajitahidi sana, sema kwenye msafara wa mamba, kenge nao wamo...hao kenge ndio wa kushughulikiwa.
 
Back
Top Bottom