Simon Sirro uliwabipu majambazi, wamekupigia umebaki unahaha

Simon Sirro uliwabipu majambazi, wamekupigia umebaki unahaha

Mtoa mada, kazi hii ni ngumu sana, kufikia hapa tulipo na kuweza kulala tulishukuru sana jeshi letu,Rate za ualifu ni ndogo mno kulinganisha na Kenya Uganda na nchi nyingine,kujenga mazingira ya kulinda watu 60ml, kwa idadi ya askari waliopo sio jambo la masihara,ndiyo maana sote tunatakiwa tulisaidie jeshi letu kwa kutoa taarifa za wahalifu.
N.B,NALIPONGEZA SANA JESHI LETU POLEPOLE TUTAFIKA KUTOKOMEZA WAHALIFU,LAKINI SI KUWAMALIZA MAANA KILA SIKU PIA WANAIBUKA WAPYA.
Mkuu,polisi wanawajua waharifu. Wanakula nao sahani moja.
 
IGP kamata Yale majambazi "mapapa" vuta kengere zao watataja mtandao mzima...ukicheka nao mama atakufurusha hapo...bado una watoto wa kusomesha (Mwijage voice)
 
Mtoa mada, kazi hii ni ngumu sana, kufikia hapa tulipo na kuweza kulala tulishukuru sana jeshi letu,Rate za ualifu ni ndogo mno kulinganisha na Kenya Uganda na nchi nyingine,kujenga mazingira ya kulinda watu 60ml, kwa idadi ya askari waliopo sio jambo la masihara,ndiyo maana sote tunatakiwa tulisaidie jeshi letu kwa kutoa taarifa za wahalifu.
N.B,NALIPONGEZA SANA JESHI LETU POLEPOLE TUTAFIKA KUTOKOMEZA WAHALIFU,LAKINI SI KUWAMALIZA MAANA KILA SIKU PIA WANAIBUKA WAPYA.
Acha kupamba hata kama ni mjeda mkuu
 
Back
Top Bottom