TANZIA Simpasa Eliakim, Mwenyekiti wa kamati ya haki za Bunge 2000-2005 afariki dunia

TANZIA Simpasa Eliakim, Mwenyekiti wa kamati ya haki za Bunge 2000-2005 afariki dunia

duh vifo vimekuwa vingi sasa ,,this is too much
 
Mwalimu mkufunzi wa chuo Cha ualimu kigurunyembe pia alikuwa makamu wa mkuu wa chuo kigurunyembe na mpwapwa alikuwa adui mkubwa wa Oliver P. Mhaiki akiwa mkuu wa chuo na aliestahafu juzi tume ya utumishi ya walimu.
 
View attachment 1459584
Aliyekuwa mbunge wa Mbozi Magharibi na baadaye jimbo hilo kubadilishwa na kuitwa Momba Miaka ya 1995-2005 Eliakim Simpasa amefariki majira ya saa 7 mchana leo hii katika hospitali ya Mkoa wa Songwe.

Simpasa ambaye aliongoza kamat ya Haki, maadili na Madaraka ya Bunge atakumbukwa namna alivyokuwa kinara wa kuita watu bungeni wakahojiwe pale walipokuwa wakijaribu kugusa mhimili wa Bunge.

Miongoni mwa walioitwa mbele ya kamati ya Simpasa kama walivyoiita watu ni pamoja na Mama Terry, Uongozi wa ITV na Radio one pale mijadala ya kipindi alichoshiriki mama Terry kugusia namna utendaji wa bunge ulivyokuwa hauwaridhishi wananchi, lakini kamati hiyo haikuridhishwa na uendeshaji wa kipindi hicho na kuwaita kuhojiwa.

Simpasa aliangushwa kwenye kiti cha ubunge na Dr Luka Siame 2005-2010, na baadaye jimbo hilo likachukuliwa na Silinde kwa vipindi viwili.
View attachment 1459583
CCM.......?

Well,who cares?

We die.
 
KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI, NA HAKIKA ITALIPWA (HUKO AKHERA) KUTOKANA NA YALE ILIYOYACHUMA TU.
HII MAMBO YA KUSEMA R.I.P NA MFANO WAKE NI KUJIFURAHISHA TUU NA KUKAMILISHA MANENO KWA ALIEFARIKI, LAKINI KIUHALISIA HUKO MBELE INATAKA MAANDALIZI YA KABLA.
 
RIP hii corona kwanini inawamaliza chama tawala ?

Toka maktaba : makubwa aliyoyafanya kwa wananchi wa Momba mkoa wa Songwe Tanzania ni kuwaasa CCM kuwa maendeleo hayana chama waache kubagua !
With due respect ninakili Corona ipo lakini kuihusisha na kila kito sio sawa.
Tukiwa objective inapendeza zaidi kuliko hivi tufanyavyo.
 
With due respect ninakili Corona ipo lakini kuihusisha na kila kito sio sawa.
Tukiwa objective inapendeza zaidi kuliko hivi tufanyavyo.
Mbona simpo tu!
Tangazeni sababu ya kifo ili kuzuia wazushaji wasizushe kuwa ni 'kolona'
 
View attachment 1459584
Aliyekuwa mbunge wa Mbozi Magharibi na baadaye jimbo hilo kubadilishwa na kuitwa Momba Miaka ya 1995-2005 Eliakim Simpasa amefariki majira ya saa 7 mchana leo hii katika hospitali ya Mkoa wa Songwe.

Simpasa ambaye aliongoza kamat ya Haki, maadili na Madaraka ya Bunge atakumbukwa namna alivyokuwa kinara wa kuita watu bungeni wakahojiwe pale walipokuwa wakijaribu kugusa mhimili wa Bunge.

Miongoni mwa walioitwa mbele ya kamati ya Simpasa kama walivyoiita watu ni pamoja na Mama Terry, Uongozi wa ITV na Radio one pale mijadala ya kipindi alichoshiriki mama Terry kugusia namna utendaji wa bunge ulivyokuwa hauwaridhishi wananchi, lakini kamati hiyo haikuridhishwa na uendeshaji wa kipindi hicho na kuwaita kuhojiwa.

Simpasa aliangushwa kwenye kiti cha ubunge na Dr Luka Siame 2005-2010, na baadaye jimbo hilo likachukuliwa na Silinde kwa vipindi viwili.
View attachment 1459583

Vipi ' Wuhan Virus ' hakijahusika katika Kuratibu na Kupelekea Kifo chake hiki Kwani kwa sasa ' Kirusi ' hiki kimewapenda Wakubwa wa Tanzania.
 
View attachment 1459584
Aliyekuwa mbunge wa Mbozi Magharibi na baadaye jimbo hilo kubadilishwa na kuitwa Momba Miaka ya 1995-2005 Eliakim Simpasa amefariki majira ya saa 7 mchana leo hii katika hospitali ya Mkoa wa Songwe.

Simpasa ambaye aliongoza kamat ya Haki, maadili na Madaraka ya Bunge atakumbukwa namna alivyokuwa kinara wa kuita watu bungeni wakahojiwe pale walipokuwa wakijaribu kugusa mhimili wa Bunge.

Miongoni mwa walioitwa mbele ya kamati ya Simpasa kama walivyoiita watu ni pamoja na Mama Terry, Uongozi wa ITV na Radio one pale mijadala ya kipindi alichoshiriki mama Terry kugusia namna utendaji wa bunge ulivyokuwa hauwaridhishi wananchi, lakini kamati hiyo haikuridhishwa na uendeshaji wa kipindi hicho na kuwaita kuhojiwa.

Simpasa aliangushwa kwenye kiti cha ubunge na Dr Luka Siame 2005-2010, na baadaye jimbo hilo likachukuliwa na Silinde kwa vipindi viwili.
View attachment 1459583

RIP!😭
 
RIP Eliakim Simpasa
P
Bwana Pascal Mayalla , waandishi mtamkubuka sana Mhe. Simpasa enzi zake, kwa sababu kamati yake ambayo yeye alikuwa ni mwenyekiti (Kamati ya Maadili, Kinga na Madaraka ya Bunge) iliongoza sana kwa kuwaita na kuwahiji waandishi wa habari ambao walikuwa wanahoji weledi wa bunge enzi hizo. Waandishi walinyanyasika sana na kamati hii kila wakiandika makala za kukosoa kazi za baadhi ya wabunge!

RIP Simpasa.
 
Back
Top Bottom