Simpendi Alikiba lakini nakubali anavyoishi

Riz king

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
276
Reaction score
549
Miongoni mwa wasanii ambao hapa nyumbani bongo wanaishi maisha yao bila kupretend ni Alikiba. Huyu jamaa hata akizikwa leo naamini watu hawatoshangaa maisha yake maana ha fake kitu chochote.

Me sio mshabiki wako Alikiba lakini najifunza aina ya maisha yako yaliyojaa privacy and confidentiality kibao. Wasanii wengi wa hapa bongo wamejaa unafiki wa hali ya juu mpaka hivi sasa wanashindwa kuaminika.

Kaja juzi Vee Money kajiumbua naamini kuna wengine watafuata au huenda hapo mbeleni likatokea jambo kwa staa yeyote hapa bongo ndo watu wakabaki wanaziba pua. Heko mzee wa dodo.
 
anaishi kama mtu wa kawaida ndio maana wachache wanamfatilia na anapata deals chache.

Sio mchangamfu

Ana dharau

Kuna interview ya majirani zake niliicheki, majirani wanasema jamaa anaishi kivyake vyake

n.k, n.k, n.k.

Kiba abadilike,
Hayo ndio maisha fake sasa.
Yaani ujichetue ili upate deals[emoji16][emoji16],unajua hutavutia hata kidogo???

Kuna maisha nje ya usanii,nayo ni ya kawaida saba hayataki upuuzi,ukiyakaribu yanakutia kidole cha macho.
 
"Ye bhabha" kwa sauti ya mdada wa tangazo la tigo, Our [emoji146], huhuhuhuh
 
Hayo ndio maisha fake sasa.
Yaani ujichetue ili upate deals[emoji16][emoji16],unajua hutavutia hata kidogo???

Kuna maisha nje ya usanii,nayo ni ya kawaida saba hayataki upuuzi,ukiyakaribu yanakutia kidole cha macho.
Maisha fake,kweli wewe ni bogus WCB4LIFE
 
Matatizo ya ndoa yake na vurugu za ndugu zake kwa mkewe zili trend sana.... mtu kama unashindwa ku handle ishu za kifamilia tena za ndoa anakuwaje role model wako?
 
Anaishi kama mtu wa kawaida ndio maana wachache wanamfatilia na anapata deals chache.

Sio mchangamfu

Ana dharau

Kuna interview ya majirani zake niliicheki, majirani wanasema jamaa anaishi kivyake vyake

n.k, n.k, n.k.

Kiba abadilike,

Ulivyosema "anadharau" utafikiri kawahi kuwa bwana wako

Punguza uswahili wa kufuata mkumbo
 
Lakini hatoboi kimataifa na bado underground over.AMABOKO HIT SONG.

Kama ukisema hivi roho yako inasuuzika, au unaingiza kipato so be hit

Kwepa kuwa msukule ww mahaba ya watu ambao hawakujui unajiumiza bure

Ali kiba mfanye kuwa undeground utakavyo wewe, ila si diamond, rayvanny au lavalava wanavyomuona!!! Wewe ukinga na mahaba ya utimu unaita underground, u team umekulevya na kuwa zoba, zimbwi, mchawi na mtu wa kati!!! Punguani haumo wala zezeta halikutoshi


Ali kiba ana umaarufu kushinda baba yako, mama yako, wewe, vizazi vyako vyote!!

Sasa kaka alikiba undeground na vijana wapambanaji waliopo na wanaokuja kwenye game unawaitaje?

Umechemka, hata ukijibu hii
 
Baba yangu unamjua,..!! Laizer ni billionea so alikiba hata theluthi haingii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…