Simpendi Alikiba lakini nakubali anavyoishi

Simpendi Alikiba lakini nakubali anavyoishi

Sisi ndo tunapenda maisha hayo,kusaka deals isiwe chanzo cha kujivunjia heshima na kuish maisha ya hovyo na maigizo,utajikuta hata deals hazikunufaish coz mkwanja mwingi utautumia kwenye kufake,mabody guard kumi KUNI,wale,wavae,usafiri,ukienda sehemu msafara wa magari 4 had 5,mafuta posho nk, of course watoto wadogo ndo wamekuja na pretendings za ajabu now days, ona akina AY,PROF J,SUGU,JIDE ,mikwanja ya kutosha na wapo simple kama KING, pretending is costiful
 
Anakuchanganya ww bro ubongo wa panzi, we Muziki na mpira tu unachanganyikiwa shuleni ulikuwa unasoma somo moja tu ili usichanganyikiwe nahisi.
 
Mnafake sana WCB, ray van anapiga picha kwenye mgorofa kumbe napanga, boss wenu kapanga mbezi,afu anatuaminisha yy ndo msanii mwenye hela zaidi afu anapanga,ndo kufake
 
Kwani DIAMOND wanawake alizaa nao wote kuna hata anaepatana nae?
 
Mataifa yapi?..mnapenda sana kujitekenya tuzo za sound city mlizokosa juzi mjomba alipita Nazi, MTV kamchana wizkid tuzo ikaja TZ,huyo anaetoboa kimataifa kakosa SOUNDCITY na JUZI KAKOSA BET kachukua BURNA shenzi nyamazeni kabisa.
 
Anaishi kama mtu wa kawaida ndio maana wachache wanamfatilia na anapata deals chache.

Sio mchangamfu

Ana dharau

Kuna interview ya majirani zake niliicheki, majirani wanasema jamaa anaishi kivyake vyake

n.k, n.k, n.k.

Kiba abadilike,
Vilaza wengi wanafikirii watu ambao hawajachangamka wana dharau
 
Mataifa yapi?..mnapenda sana kujitekenya tuzo za sound city mlizokosa juzi mjomba alipita Nazi, MTV kamchana wizkid tuzo ikaja TZ,huyo anaetoboa kimataifa kakosa SOUNDCITY na JUZI KAKOSA BET kachukua BURNA shenzi nyamazeni kabisa.
Umewahi kuwa girlfriend wa Diamond nini halafu akakugonga bila ndomu na kukuacha?

Mbona una hasira nae sana.
 
Sisi ndo tunapenda maisha hayo,kusaka deals isiwe chanzo cha kujivunjia heshima na kuish maisha ya hovyo na maigizo,utajikuta hata deals hazikunufaish coz mkwanja mwingi utautumia kwenye kufake,mabody guard kumi KUNI,wale,wavae,usafiri,ukienda sehemu msafara wa magari 4 had 5,mafuta posho nk, of course watoto wadogo ndo wamekuja na pretendings za ajabu now days, ona akina AY,PROF J,SUGU,JIDE ,mikwanja ya kutosha na wapo simple kama KING, pretending is costiful
Sasa alikiba anahela kwa wasanii wa bongo...!!?? Au umekunywa, msanii wa Kwanza kwa mtonyo East Africa ni DIAMOND
 
Mnafake sana WCB, ray van anapiga picha kwenye mgorofa kumbe napanga, boss wenu kapanga mbezi,afu anatuaminisha yy ndo msanii mwenye hela zaidi afu anapanga,ndo kufake
Sasa kwani kupanga si uhamuzi wa mtu, DIAMOND Ana hoteli, Tv&redio, label na endorsement za kufa mtu, sasa utasemaje mtu wa aina hiyo anafake maisha.
RAYVANNY ndo msanii pekee kushinda BET , hivi unajua kiasi amabacho BET wanatoa kwa mshindi....? So calma down.
 
Kama ukisema hivi roho yako inasuuzika, au unaingiza kipato so be hit

Kwepa kuwa msukule ww mahaba ya watu ambao hawakujui unajiumiza bure

Ali kiba mfanye kuwa undeground utakavyo wewe, ila si diamond, rayvanny au lavalava wanavyomuona!!! Wewe ukinga na mahaba ya utimu unaita underground, u team umekulevya na kuwa zoba, zimbwi, mchawi na mtu wa kati!!! Punguani haumo wala zezeta halikutoshi


Ali kiba ana umaarufu kushinda baba yako, mama yako, wewe, vizazi vyako vyote!!

Sasa kaka alikiba undeground na vijana wapambanaji waliopo na wanaokuja kwenye game unawaitaje?

Umechemka, hata ukijibu hii
Heh!! Kazi kweli kweli.
 
Mataifa yapi?..mnapenda sana kujitekenya tuzo za sound city mlizokosa juzi mjomba alipita Nazi, MTV kamchana wizkid tuzo ikaja TZ,huyo anaetoboa kimataifa kakosa SOUNDCITY na JUZI KAKOSA BET kachukua BURNA shenzi nyamazeni kabisa.
Sasa unasahau kuwa MTV wa Kwanza East Africa kuchujua ni DIAMOND Tena 2,na pia umesahau kuwa SOUND CITY DIAMOND alichukua MVP na pia alishatangazwa Mara mbili BET 2014 na 2016,na he huyo AJUZA KIBA alishatangazwa Mara ngapi au anafurahia mituzo ya kupewa na EATV[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani Diamond angekuwa na pesa nyingi kama Ali Kiba, Watanzania wasingelala usingizi.
 
Yaani Diamond angekuwa na pesa nyingi kama Ali Kiba, Watanzania wasingelala usingizi.
Yani alikiba angekuwa na pesa nyingi Kama rayvanny, hapo sijamtaja diamond, nazungumzia the one and only BET WINNER IN EAST AFRICA watanzania wasingelala usingizi Mara mbili square, so dogo pagan kajambe ulale hapa no AMABOKO THE SUPER HIT SONG [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom