Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Heshima wakuu, nikiwa mtoto wa mwisho na mvulana pekee katika familia hii nimekuwa sina mahusiano mazuri na huyu dada yangu wa kwanza. Yeye hana matatizo nami, ila mimi nikiwa nae nakosa amani kabisa na ile hali ya kujiamini inapotea kabisa. Kifupi ni kuwa nitakuwa na amani na kujiamini zaidi nikiwa naongea na mzazi kuliko mbele ya huyu dada, na hii ndio inasababisha nimchukie na kumkwepa mara nyingi..... Hivi hii ni kawaida?? Naombeni ushauri katika hili..