Simpendi na sikumchagua Magufuli lakini naunga mkono 100% msimamo wake kuhusu Korona

Acha ukichaa

Kama unasapotiwa yanini uanze kutishia wananchi wasi discuss anything kuhusu corona?..
Hapo ndio upumbavu wenu ulipo mkuu!

Hataki kwa sababu wengi wenu ni wajinga mnataka kutengeneza taharuki ili watu wawe na hofu washindwe kujifanyia shughuli zao za kuwaingizia kipato, na yuko sahihi hata mimi naunga mkono ukipatikana hata risasi upigwe tu.

Hao wajinga wachache wanaopiga kelele mitandaoni ni kakikundi ka watu wachache tu wanaofanya hivyo kwa maslahi yao.

Naona sasa hivi mmeacha hata kuingelea kesi zenu mlizopeleka ICC sasa mmejikita kuamisha dunia kwamba kuna maelfu hapa tz wanakufa kwa corona. Na mtafeli tu kama mlivyofeli tangu corona inaanza.
 
Kina mbowe ni wakala wa mabeberu wasaka fulsa ya biashara au wizi kwenye mazingira yoyote. Popote duniani ukiacha uchina dili za kulisha watu kwenye karantini ni uhuni tu wanapeleka hapa na hapa halafu invoice wanajidai wamelisha kila mtu serikali inalipa ni wizi mtupu. Yaani ukisikia ushetani ni huu. Watu wateseke ili wao waibe hela za umma.

Hapo ni mfano mdogo tu. Kimataifa ni biashara za kinyang'anyi tu. Hii homa ya mafua tutaenda nayo tu na tutatoka sio mafedhuli duniani kuona ni fulsa ya kuzikamua nchi changa kufisha matumaini yao ya maendeleo.
 
Kama hakuna Corona tunavaa Barakoa za nini? Kwanini hataki mamlaka zitangaze tu kuwa Corona ipo ili watu wachukue tahadhari?
Mkuu!kusoma mtu hujui ina maana hata picha inayochorwa huioni?
Kuna mambo lazima tujiongeze mzee mm ccm siukaligi lkn kwenye hii issue ya corona jpm ame play vizuri
Kila siku watu wanambiwa mvae barakoa mnawe mikono,muepuke misongamano isiyo kuwa ya lazima ....mnataka nn tena
Au mnataka mpigwe lockdown na mkipigwa lockdwn msitegeme kma serikali itawaletea mahitaji

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Lockdown ingeleta mazara makubwa sana, hilo hata mimi namuunga mkono, Wasaidizi wake waendelee kuhamasisha watu kuchukua zile tahazari, Kunawa mikono, kuepuka misongamano isyo na łazima, watu watumie dawa za kienyeji na nyungu pia.
 
Yani kweli watanzania ndio tumefika hukukweli kuilinda afya yako mpaka ikwambie serikali afya nimaliyako ilinde mwenyewe au ndio unasubili uambiwe shusha nety usiku umeingia
 
Nduguyangu kilamtu ajilinde mwenyewe na watuwake wakalibu lakini ukisubili serikali ikwambiye utasubilisana kwa utalahuu huyo unaemsubili akwambie amekimbia bila yakumwambia mtu
 
Kina mbowe ni wakala wa mabeberu
Siyo kusudio la mada hii kuwatukana viongozi mahili wa kisiasa kama kamanda Freeman Mbowe.

Tujenge hoja tu za kutafuta suluhisho la tatizo la korona.
 
Hahahahahahahhaaha Asante nimeipenda hii
 
Lazima sasa tubadili mfumo wa maisha
Mambo ya kukaa kwenye makundi etc tuache
Mpaka gonjwa lenyewe litokomee lenyewe

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mkuu kukaa kwenye vikundi ndiyo kunakotupatia riziki wengine. Watu tuna vibanda umiza, ni ma-MC, ni madalali wa samaki ferry DSM na mwaloni Mwanza, Sasa tutaishije?
 
Mkuu kukaa kwenye vikundi ndiyo kunakotupatia riziki wengine. Watu tuna vibanda umiza, ni ma-MC, ni madalali wa samaki ferry DSM na mwaloni Mwanza, Sasa tutaishije?
Watu wakae kwa style [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutajifunza tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…