Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Na wewe huna tofauti na hako kabinti unayepiga kunuti,uovu mtupu,kamfuata wa nini? Si angebaki na mkewe,umalaya mtu.Ninyi ndio mnaoacha Mungu ailaani dunia.
Kwani wewe ni Baba wa huyo bint hadi unathibitisha tuhuma kuwa ni kweli? unajua Kunuti au Albadiri ina kawaida ya kutafuta? kama huyo bint amebakwa kweli haiwezi kumpata na kama ametumika kisiasa inamzoa ndani ya Wiki Moja tu anakuwa Kichaa wa kutembea Uchi.
 
Kabinti ni kashenzi sana,ila Nawanda nae alizingua mtu ushakua na wadhfa wa RC bado unatoka na vibinti mcharuka vya nini wakati mishangazi ipo.
Tena MISHANGAZI YA CCM ipo mingi tu, unamwambia Mwen.... na wanakuja..

Simlaumu MWAMBA, kwasisi wanywa pombe uwa yanatukuta pindi pombe inapokolea alafu imeshuka CHINI! Hata akipita JINI MWANAMKE utamwita bila kumthaminisha kama ni binadamu kweli ili ukachuje!
 
kwani mkuu kwa sababu wewe ni mwanasheria je inaruhusiwa kufanya mapenzi na wmanafunzi hata kama alijipeleka kwa hiari yake? na je hicho kitendio kisheria kinaitwaje? ni ubakaji au ni hiari
Lakini ukisoma rufaa ya Jaji, mashahidi walishindwa kuthibitisha ubakaji na mtuhumiwa akafungwa kwa kosa la "utekaji/abduction"....katika ushahidi binti alijieleza vizuri kuwa "walikuwa wanafanya mapenzi" hivyo mahakama ya juu haikumkuta kijana na kosa la ubakaji

Itoshe kusema tu kuwa "RC ni mwanaume kama wanaume wengine, "ushenzi" alioufanya wa kutembea na vibinti vidogo unatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, HATA HIVYO haifuti ukweli wa mambo haya mawili:-
1. Huyu binti ni "kahaba" mzoefu asiyefaa katika jamii kwa rejea ya hii kesi iliyomfunga boda boda

2. Kuna mchezo mchafu wa kisiasa uko nyuma ya hii kesi kwasababu isingekuwa rahisi taarifa zenge muhuri wa "SIRI" tena kutoka mamlaka nyeti ya upelelezi kuvuja kirahisi
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli kwa kutumia IJ!..

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli ka binti kalibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile!, wakati usikute the reality, tukio limetokea kweli ila ni consensual act, kisha binti akamgeuzia kibao RC kuwa amebakwa kwa lengo la kum fix Dr. Nawanda!, ama kum blackmail aongeze dau, au kutumika for dirty games za politics!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza kwa haka ka binti kuwa involved kwenye matukio kama haya,

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form II St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  2. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  3. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo mapema?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  4. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  5. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, hivyo waliposhindwa kukubaliana bei, ka binti kakatishia blackmail na kwenda kukishitaki ili kumtisha tuu, ilipo leak, ka binti kakaandika barua kufuta tuhuma, kumbe jinai haifutiki kirahisi hivyo.
  6. Pia kuna uwezekano mkubwa sana ka Binti kalisetiwa, for ill motives, kupitia kitu kinachoitwa "honey trap", Dr. Nawanda akaingia line kichwa kichwa, mazima, na kunaza kwenye mtego, kwa kabinti kushitaki kubakwa!. Ama kweli "penye urembo ndipo penye ulimbo!", RC amenasa kwenye ulimbo!.
  7. Baada ya binti kukubali kutumika na kuripoti tukio, akajikuta ni yeye ndiye anachafuka zaidi na anajiharibia CV yake, ndipo akataka kufuta kesi.
  8. Kwenye issue ya wasiojulikana, jeshi letu la polisi wameshindwa, nikasema humu, sisi media tunaweza Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
  9. Kwenye shambulio la Tundu Lissu niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
  10. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu, hii ni IJ ndogo tuu na simple, hata mimi na PPR yangu tungeifanya, ila its very unfortunately, mimi na PPR, tumejikita kwenye habari za kimaendeleo tuu!.

Paskali
Nilishasema story ya huyu mtoto ina walakini haiwezekani ufanywe january na unasema hukuprnda ulichofanyiwa halafu june urudi trna kutoka chuo kilomita hamsini huko kumfuata tena mtu huyo huyo , hako katoto ni kamalaya kazoefu kana blackmail watu
 
Lakini ukisoma rufaa ya Jaji, mashahidi walishindwa kuthibitisha ubakaji na mtuhumiwa akafungwa kwa kosa la "utekaji/abduction"....katika ushahidi binti alijieleza vizuri kuwa "walikuwa wanafanya mapenzi" hivyo mahakama ya juu haikumkuta kijana na kosa la ubakaji

Itoshe kusema tu kuwa "RC ni mwanaume kama wanaume wengine, "ushenzi" alioufanya wa kutembea na vibinti vidogo unatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, HATA HIVYO haifuti ukweli wa mambo haya mawili:-
1. Huyu binti ni "kahaba" mzoefu asiyefaa katika jamii kwa rejea ya hii kesi iliyomfunga boda boda

2. Kuna mchezo mchafu wa kisiasa uko nyuma ya hii kesi kwasababu isingekuwa rahisi taarifa zenge muhuri wa "SIRI" tena kutoka mamlaka nyeti ya upelelezi kuvuja kirahisi
Ndio hapo
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli kwa kutumia IJ!..

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli ka binti kalibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile!, wakati usikute the reality, tukio limetokea kweli ila ni consensual act, kisha binti akamgeuzia kibao RC kuwa amebakwa kwa lengo la kum fix Dr. Nawanda!, ama kum blackmail aongeze dau, au kutumika for dirty games za politics!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza kwa haka ka binti kuwa involved kwenye matukio kama haya,

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form II St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  2. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  3. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo mapema?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  4. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  5. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, hivyo waliposhindwa kukubaliana bei, ka binti kakatishia blackmail na kwenda kukishitaki ili kumtisha tuu, ilipo leak, ka binti kakaandika barua kufuta tuhuma, kumbe jinai haifutiki kirahisi hivyo.
  6. Pia kuna uwezekano mkubwa sana ka Binti kalisetiwa, for ill motives, kupitia kitu kinachoitwa "honey trap", Dr. Nawanda akaingia line kichwa kichwa, mazima, na kunaza kwenye mtego, kwa kabinti kushitaki kubakwa!. Ama kweli "penye urembo ndipo penye ulimbo!", RC amenasa kwenye ulimbo!.
  7. Baada ya binti kukubali kutumika na kuripoti tukio, akajikuta ni yeye ndiye anachafuka zaidi na anajiharibia CV yake, ndipo akataka kufuta kesi.
  8. Kwenye issue ya wasiojulikana, jeshi letu la polisi wameshindwa, nikasema humu, sisi media tunaweza Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
  9. Kwenye shambulio la Tundu Lissu niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
  10. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu, hii ni IJ ndogo tuu na simple, hata mimi na PPR yangu tungeifanya, ila its very unfortunately, mimi na PPR, tumejikita kwenye habari za kimaendeleo tuu!.

Paskali
Sasa na wewe unazeeka vibaya. Yaani unadiriki kusema uthibitisho wa kuwa kalibakwa ni kutokuwa na "b", je huko Mpanda vipimo vingine vya kuthibitisha kama DNA haviruhusiwi kufanyika au uchunguzi wako umeufanya kwa papara sana. Rudia zoezi kulinda uzoefu wako vinginevyo utaonekana umechuja.
 
Huyo binti ni malaya
Hata huyo RC ni malaya tena hatari maana kwa madaraka aliyo nayo na kuwa na tabia chafu ni rahisi sana kuieneza.
Tunapigiwa kele na UVCCM eti mtandao wa X ufungiwe badala ya kufungia viongozi wa CCM wala mparange?
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli kwa kutumia IJ.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli ka binti kalibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile! Wakati usikute the reality, tukio limetokea kweli ila ni consensual act, kisha binti akamgeuzia kibao RC kuwa amebakwa kwa lengo la kum fix Dr. Nawanda, ama kum blackmail aongeze dau, au kutumika for dirty games za politics.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza kwa haka ka binti kuwa involved kwenye matukio kama haya,

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form II St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  2. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
  3. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"! Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo mapema?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?
  4. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela.
  5. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, hivyo waliposhindwa kukubaliana bei, ka binti kakatishia blackmail na kwenda kukishitaki ili kumtisha tuu, ilipo leak, ka binti kakaandika barua kufuta tuhuma, kumbe jinai haifutiki kirahisi hivyo.
  6. Pia kuna uwezekano mkubwa sana ka Binti kalisetiwa, for ill motives, kupitia kitu kinachoitwa "honey trap", Dr. Nawanda akaingia line kichwa kichwa, mazima, na kunaza kwenye mtego, kwa kabinti kushitaki kubakwa. Ama kweli "penye urembo ndipo penye ulimbo!" RC amenasa kwenye ulimbo!
  7. Baada ya binti kukubali kutumika na kuripoti tukio, akajikuta ni yeye ndiye anachafuka zaidi na anajiharibia CV yake, ndipo akataka kufuta kesi.
  8. Kwenye issue ya wasiojulikana, jeshi letu la polisi wameshindwa, nikasema humu, sisi media tunaweza Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
  9. Kwenye shambulio la Tundu Lissu niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
  10. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu, hii ni IJ ndogo tuu na simple, hata mimi na PPR yangu tungeifanya, ila its very unfortunately, mimi na PPR, tumejikita kwenye habari za kimaendeleo tuu!

Paskali

Pia soma:

- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi

- Yahaya-Tumsime Scandal and a challenge of rehabilitating the victims of anal rape and protecting survivors in Tanzania: A Ministerial Policy Brief
Sasa huyo bodaboda mnamsaidiaje?
 
Tunamlaumu RC kutembea na vibinti vidogo, kwani Binti mdogo Sheria sina inasema ni chini ya 18yrs.?

Ukiwa RC huruhusiwi kuendelea na maisha yako binafsi baada ya kazi, kwenye free time yako?
Ukiwa RC huruhusiwi kununua makahaba, au wanakuwa hawana hamu?

RC akikataa hajamlawiti binti bali walifanyana kawaida baada ya negotiation na Binti Tu ameamua kutafuta maisha kwa RC au nyuma ya binti kuna maadui wa RC, je Binti anawezaje kuthibitisha aliingiliwa na RC na sio mtu/watu wengine huko nyuma?
Kama kuna DNA test itathibisha vinasaba vya RC kwenye utupu wa nyuma wa Binti na kuonyesha Binti aliingiliwa na watu wengine sio RC tutakuwa tayari kulazimisha mahakama imfunge huyu Binti 30yrs na awataje wenye hivyo vinasaba waliowahi kumuingilia?..

Kesi hii tusipokuwa makini inaweza kuleta madhara makubwa sana kwenye jamii Kwa mabinti wengi kuanza kublackmail watu kwa kigezo hiki chakulazimishwa ilihali kulikuwa na makubaliano au Binti mwenyewe anapenda na alilazimisha hilo au mabinti makahaba kufanya mapenzi kawaida na watu wenye status kusingizia wameingiliwa kinyume ilihali ni wazoefu wakuingiliwa huko na masela wa kitaa.
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli kwa kutumia IJ.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli ka binti kalibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile! Wakati usikute the reality, tukio limetokea kweli ila ni consensual act, kisha binti akamgeuzia kibao RC kuwa amebakwa kwa lengo la kum fix Dr. Nawanda, ama kum blackmail aongeze dau, au kutumika for dirty games za politics.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza kwa haka ka binti kuwa involved kwenye matukio kama haya,

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form II St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  2. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
  3. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"! Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo mapema?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?
  4. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela.
  5. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, hivyo waliposhindwa kukubaliana bei, ka binti kakatishia blackmail na kwenda kukishitaki ili kumtisha tuu, ilipo leak, ka binti kakaandika barua kufuta tuhuma, kumbe jinai haifutiki kirahisi hivyo.
  6. Pia kuna uwezekano mkubwa sana ka Binti kalisetiwa, for ill motives, kupitia kitu kinachoitwa "honey trap", Dr. Nawanda akaingia line kichwa kichwa, mazima, na kunaza kwenye mtego, kwa kabinti kushitaki kubakwa. Ama kweli "penye urembo ndipo penye ulimbo!" RC amenasa kwenye ulimbo!
  7. Baada ya binti kukubali kutumika na kuripoti tukio, akajikuta ni yeye ndiye anachafuka zaidi na anajiharibia CV yake, ndipo akataka kufuta kesi.
  8. Kwenye issue ya wasiojulikana, jeshi letu la polisi wameshindwa, nikasema humu, sisi media tunaweza Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
  9. Kwenye shambulio la Tundu Lissu niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
  10. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu, hii ni IJ ndogo tuu na simple, hata mimi na PPR yangu tungeifanya, ila its very unfortunately, mimi na PPR, tumejikita kwenye habari za kimaendeleo tuu!

Paskali

Pia soma:

- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi

- Yahaya-Tumsime Scandal and a challenge of rehabilitating the victims of anal rape and protecting survivors in Tanzania: A Ministerial Policy Brief
Ulikuwa mbele ya muda
 
Back
Top Bottom