Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Watu wengi wanashabikia na kuaminishwa kwamba huyo Mhe. Alifanya hiyi kitu, ila ukitafakari kwa kina sana maelezo ya huyo binti na mazingira utagundua ni siasa za kuchafuana na huyo binti alitumika
RC Nawanda anashindana na nani kwenye siasa? na kwa TZ ni nani alishindwa kuchaguliwa kwa sababu ya umalaya wake? Aacheni kuisingizia siasa, RC mzima unahusishwaje na wizi wa mkungu wa ndizi?? Huoni kuwa ni upumbavu wa hali ya juu.Binti ana uongo wake na RC ana makosa yake na hawa wote ni wapenzi wa siku nyingi tu.
 
..ukisema binti ni malaya unamchafua zaidi RC Nawanda.

..kwa maana nyingine anamtuhumu RC Nawanda kutafuta, na kuwa na mahusiano ya kingono na malaya.

..kwa maana nyingine anamtuhumu RC Nawanda kuwa ni malaya.

..kwa wadhifa wake ni ukosefu wa maadili. Kwa imani yake pia ni dhambi kubwa.
Ni kweli kabsa sioni tofauti na kuambiwa RC ameiba mhogo au mkungu wa ndizi sokoni.
 
View attachment 3018162
Huyu ndio tumsime aliyebakwa na kuingiliwa kinyume bila ridhaa
Hii takataka nayo ndiyo nifanye hata nisililale naiwaza yenyewe tu? Mh. RC alikuwa mpumbavu! Jamani halmashauri kuna pisi kali sana kama uko selective! Idara za elimu, maendeleo ya jamii na afya kidogo. Tena kwa nafasi yake angefanya kuagiza tu kwamba fulani mpangeni kituo cha mjini ingawa PSEA isingemwacha salama!
 
RC Nawanda anashindana na nani kwenye siasa? na kwa TZ ni nani alishindwa kuchaguliwa kwa sababu ya umalaya wake? Aacheni kuisingizia siasa, RC mzima unahusishwaje na wizi wa mkungu wa ndizi?? Huoni kuwa ni upumbavu wa hali ya juu.Binti ana uongo wake na RC ana makosa yake na hawa wote ni wapenzi wa siku nyingi tu.
Therefore!? Malizia....
 
kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
Mkuu unapotosha, kufanya anal sex kwa hiyari ni punishable offence. Na kifungo chake ni miaka kadhaa.

Pia kuhusu "kubakwa" na boda ni hivi, kuwa na mahusiano na minor ni ubakaji maana kisheria hajafika age of consent. Kwahiyo huyo boda hata asingembaka kitendo cha kulala naye kwa hiyari na mwanafunzi ni UBAKAJI.

So hata kama Mkuu wa mkoa hakumbaka ila kuingiliana kinyume itapaswa wote wawili wafungwe according to sheria. So either way mkuu wa mkoa kakosea tu kisheria
 
Swali la kujiuliza huyu Dr RC alikuwa ni RC wa mkoa gani? Huyu Binti alikuwa anasomea chuo gani? Je uovu huo umetendeka wakiwa wapi? Kwa namna yoyote ile hawa watu walikuwa na mahusiano.... Ila. Kuna jinsi walichanganyiana mafaili wakajikuta hapo walipo.....
 
Kuna BWEGE atakuja kumpigia magoti huyo Binti akitaka kumuoa huku akibubujikwa na machozi,wakati akiwa chuo watu wamemfir.a sana
F.UCK YOU NICE GUYS!
Wewe ukiona chanini wenzio wanawaza watakipata wapi. Hata hivyo unauhakika upo kwamba utakayemuoa wewe au uliyemuoa hakuwa kama huyo binti au zaidi yake? Hiyo haimuondolei yeye haki ya kuolewa na kuwa na familia, vipi wote walioshiriki matendo ya namna hiyo hasa wa kiume, wanahaki ya kuona vigori na kuendelea na maisha ila siyo huyo binti! Let's be fair. "Que cera cera" they say.
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Je ungeandika hivi kama Binti yako ndo kafirwa na xRC?????

Wewe ni mtu mzima, acha kutetea ujinga.

Mh. Rais asingemtumbua bila kujiridhisha kama kuna ukweli ndani yake.

Mtu ni RC anaendaje kutongoza vkatoto kake??
Nawanda ana miaka 46 hako kabinti kana miaka 21 si ni katoto kake kabisa ka kuzaa????

mayalla huna lolote zaidi ya kutafuta ulaji na kujikomba kwa nawanda
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Mkuu wewe ni mwanasheria ila kuna muda unashangaza. Mfano kwa huyo boda, wakati kametoroka na anaishi nako kalikuwa na miaka mingapi? Bila shaka chini ya miaka 18 na sheria iko wazi boda aliishi na mwanafunzi ukiachilia mbali kuwa mwanafunzi alikuwa na umri wa miaka 18. Whether kalikuja kenyewe, kalimvulia kakamtamanisha kitendo cha kulala nako basi amekabaka haijalishi kalikuwa kazungusha kiuno kama feni.
Kwenye point ya 4, umethibitisha wewe hapo kwua aliishi nako, halafu unauliza kuwa hakana B ndio uwe ushahidi. Inawezekana kuwa hakukuwa na B wakati analala nako lakini umethibitisha kuwa aliishi nako unataka kusema aliishi nako kama kaka na dada? Na sheria inasemaje kumweka kinyumba mwanafunzi chini ya miaka 18. Wewe ni mwanasheria na unajua sheria.
Pia inawezekana huyo RC kasingiziwa lakini bado ni assumption maana hata wewe huna uhakika. Huyo pia unayemtetea hii si tuhuma yake ya kwanza. Hivyo wote wawili mtuhumiwa na anayetuhumiwa wote it seems wanatia amshaka.
 
Kamalaya sugu kameharibu ndoto za jamaa.
Mkuu,Nafikiri tukubaliane kwamba Tunategemea watumishi wa Umma wawe na Kiasi cha juu kabisa Maadili.Hyo Ndio Matarajio yetu kutoka kwao na lolote nje ya Hilo halina utetezi wowote.

Kuhusu Shaka kuhusu Uhalisia wa tabia na matendo ya Binti husika.Nafikiri Ndugu Paskali Mayala kama Mtumiaje wa huduma kama hizo zinazoitwa Consensual yuko Sahihi kusema kwamba Huenda RC kasetiwa na akaingia Kingi.Lakini hilo haliondoa ukweli kwamba kama mtendewa ameshitaki basi hiyo imeshakuwa ni KESI na kwamba Bwana RC anao wajibu wa KIJINAI kueleza iwapo kweli alimuingilia Tumsime na iwapo anachotuhumiwa kukifanya alikifanya.

Ninachokubaliana na Mzee wangu Advocate Mayala ni kwamba Historia ya Huyo Binti inaweza kweli kuharibu zaidi CV yake ila kwa Upande wa DR.RC nafikiri alikosea na lolote ambalo atakumbana nalo inabidi apambane nalo.

All in ALL natumaini kwamba uchunguzi sahihi na haki itatendeka.

Wito wangu kwa wateule wengine."WATCH YOUR BACK" kwani "WANAUME WAKO KAZINI" na "CHEO ni DHAMANA
 
"If a man can control his tongue, stomach and penis then he has solved 99% of his problems." Aliwahi kusema mhenga mmoja. Kilichomponza Dr. ni kushindwa kucontrol penis yake kikaumana. He shall be responsible for his own mistakes and I feel no mercy on him.
 
Kabinti ni kashenzi sana,ila Nawanda nae alizingua mtu ushakua na wadhfa wa RC bado unatoka na vibinti mcharuka vya nini wakati mishangazi ipo.
Ajali ndugu yangu, ujue nyege sometimes inakuwa ya kipuuzi sana yaani sometimes unatamani tu kibinti kifyatufyatu, mcharuko ukikamate halafu ukipelekee moto kisawasawa, kinavyosikilizia moto ndiyo furaha yako.

Sasa mambo yakiparaganyika ndiyo hivyo tena unaanza kukilaumu kichwa Cha chini kwamba kimekuponza
 
Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
kwani mkuu kwa sababu wewe ni mwanasheria je inaruhusiwa kufanya mapenzi na wmanafunzi hata kama alijipeleka kwa hiari yake? na je hicho kitendio kisheria kinaitwaje? ni ubakaji au ni hiari
 
Back
Top Bottom