Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Nyie wazes wa mjini. Je, ni maadili kwa mkuu wa mkoa mwingine yaani Simiyu kwenda mkoa mwingine yaani Mwanza mjini kuhudhuria birthday ya vianafunzi ambavyo hata siyo ndugu zake, na baadae CCTV kumnasa akienda nako hako kabinti ndani ya gari?

Mimi nahisi, mpaka mama katengua uteuzi hajakurupuka, huyo rafiki yako itakuwa alishaonywa aache tabia zake zake za usela usela, ujana mwingi na videmu vidogo vidogo vya hapa na pale!

Hivi Nawanda kweli huwa anaishi na mke?
 
Hatutetei mabinti kuanza ngono mapema ila huyo boda yy hakuona km huyo binti ni under age kulala naye?? Na ww babu mwenye mvi zako unashabikia eti walikuwa mtu na mpz wake?!! Wewe bintiyo wa miaka 12 unaweza kuruhusu aendelee na mahusiano na kijana ambaye atakuwa anatoka naye au utachukulia km ubakaji??

Tuje kwa huyo RC kwanini kiongozi wa serikali ananunua malaya club usiku?? Haoni km yeye ni picha ya Rais na taifa?? Hana mke? Na kwann apite mlango wa nyuma bila ridhaa ya mnunuzi wa bidhaa?? Acheni double standard kwa kutetea ujinga..!!
Huyo kiongozi lazima awajibike kwa makosa yake. Angetulia kwake yote hayo yasingemkuta na hata huo mnaosema mtego asingetegewa
 
Hili suala Jeshi la Polisi lilitengeneza sinema ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa huyo jamaa. It's purely a fabricated Case. Hayo ni madhara yatokanayo na Siasa Chafu za Majitaka ya mtaro ambazo zimeasisiwa na kuendeshwa na Chama Tawala hapa nchini.

Aidha, suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap Scandal.

Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mpaka sasa hivi mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Jibu ni Hapana.Je, Kwa nini bado hajakamatwa??

Mwisho:
Ni KWELI kwamba Tanzania kuna watu Wajinga wengi sana, lakini siyo kweli hata kidogo kwamba Watanzania wote kabisa ni Wajinga.
Tanzania walioshika madaraka wengi wao ndio wajinga Ila wananchi wa Tanzania Wana Akiri Sana Ila wamefungwa na serikali wasipayuke na kuhaibisha viongozi.
 
Inasikitisha sana,mimi na ualimu wangu wa shule ya msingi siwezi kuandika haya yaliyoandikwa na pascal,shida iko wapi,acheni vyombo vya sheria vifanye kazi yake,nakama huyo mtoto ameudanganya umma sheria zipo zitamuadhibu.

Nibora kukaa kimya kuliko kuandika mambo ya namna hii,Pascal Mayalla wewe ni mwandishi wa habari mkongwe,na haitoshi wewe ni mwanasheria ,unakwama wapi mkuu?

Jifunze kuwa na akiba ya maneno,je vyombo vya sheria vikithibitisha kuwa huyo unayemtetea alimwingilia kinyume na maumbile huyo mtoto utasema nini?


unandika eti binti alisababisha boda boda akafungwa miaka 30,kweli kabisa hujui kuwa mtoto akiwa na 16yrs alitoroka shule na katika kufatilia ikabainika kuwa alikuwa akiishi na boda boda? Ulitaka mahakama ifanye nini?
Binafsi nimesoma andiko hili na Paschal nimeishia kusikitika. Paschal siyo wa kuandika utumbo hivi.
 
Binafsi nimesoma andiko hili na Paschal nimeishia kusikitika. Paschal siyo wa kuandika utumbo hivi.
Hajui nafasi yake katik jamii,Pascal Mayalla ni msukuma naomba utafute wimbo wa msanii wa nyimbo za asili inayeitwa Ng'wana Lunduma,wimbo unaitwa Bhagikulu,kuna mstari msanii anasema,Bibi tambua umri wako(hii ni baada ya mabibi na mababu kufanya mambo yasiyoendana na umri wao)

Hata mimi namwambia huyu pascal atambue umri wake
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
🙋‍♂️📝✍️👍👌👏👊🤝🙏💐🎁🗼🛡️
 
Hili suala Jeshi la Polisi lilitengeneza sinema ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa huyo jamaa. It's purely a fabricated Case. Hayo ni madhara yatokanayo na Siasa Chafu za Majitaka ya mtaro ambazo zimeasisiwa na kuendeshwa na Chama Tawala hapa nchini.

Aidha, suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap Scandal.

Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mpaka sasa hivi mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Jibu ni Hapana.Je, Kwa nini bado hajakamatwa??

Mwisho:
Ni KWELI kwamba Tanzania kuna watu Wajinga wengi sana, lakini siyo kweli hata kidogo kwamba Watanzania wote kabisa ni Wajinga.
🙋‍♂️📝✍️👍👌👏👊🤝🙏🛡️
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Mkuu kutembea na mtoto wa shule ni hatari. Kwa kweli mahakama ilifanya kazi yake vizuri kwenye hiyo kesi ya zamani. Kwa upande wa Mh RC ukweli ni kuwa hana maadili ya uongozi yani hajui mipaka yake. Hii iwe fundisho kwetu sisi wanaume wazee tutulie na familia zetu. Starehe na nyege za kijinga zinaweza kupotezea sio tu heshima lakini pia na uhai. Aidha serikali nayo iendelee kutoa semina kwa viongozi kuhusu maadili pia itazame hili suala unakuta mtu kateuliwa mkuu wa wilaya mikoa ya mbali alafu familia iko dar au dodoma kwa hivyo anaishi kama msela tu. Tena ukute alikulia maisha ya kindezi hali ndio inakuwa mbaya zaidi.
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Jaribu kama hauja Azory
 
Inasikitisha sana,mimi na ualimu wangu wa shule ya msingi siwezi kuandika haya yaliyoandikwa na pascal,shida iko wapi,acheni vyombo vya sheria vifanye kazi yake,nakama huyo mtoto ameudanganya umma sheria zipo zitamuadhibu.

Nibora kukaa kimya kuliko kuandika mambo ya namna hii,Pascal Mayalla wewe ni mwandishi wa habari mkongwe,na haitoshi wewe ni mwanasheria ,unakwama wapi mkuu?

Jifunze kuwa na akiba ya maneno,je vyombo vya sheria vikithibitisha kuwa huyo unayemtetea alimwingilia kinyume na maumbile huyo mtoto utasema nini?


unandika eti binti alisababisha boda boda akafungwa miaka 30,kweli kabisa hujui kuwa mtoto akiwa na 16yrs alitoroka shule na katika kufatilia ikabainika kuwa alikuwa akiishi na boda boda? Ulitaka mahakama ifanye nini?
kama ni mwalimu na unashindwa kuhoji vitu kidogo kama hivi utakuwa na matatizo!

Kwa akili ya kawaida huwezi kukubali ujinga you at amelawitiwa kivipi yaan?
Alitekwa? Hapana
walikutana vipi na RC

Kuna mambo unaona huyo malaya kazingua sana na nikuchafuana kisiasa na kuvunjiana heshima kwa jamii
 
Back
Top Bottom