Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

SIYO KWELI.
Endapo kama huyo binti angekuwa subordinate wake mahali pake pa kazi, hapa hoja yako ingekuwa Ina mashiko. Lakini kwa kuwa binti huyo ni mtu mzima, na wala Hana uhusiano wowote ule wa kikazi au wa kindugu na huyo ex-RC, basi hakuna maadili yoyote yale ambayo yamekiukwa na huyo RC. Mahusiano yao yalikuwa halali kabisa kwa mujibu wa Sheria za nchi hii.
Mkuu wa mkoa unazurura club usiku, unadinyana kwenye gari?? hayo ndio maadili?
 
Mhe. Adv. Hilo tukio la kuishi na bodaboda akiwa chini ya umri wa miaka 17 haudhani ni tatizo, hata kama ni mtego haudhani huyo ni mtoto unambaka kwa kutumia utoto wake wa kutojielewa? Naomba unifahamishe kisheria.
Namalizia, kwa kisingizio cha huko nyuma aliwahi kufanya kitu kama hicho kama kinaweza kuhalalisha wewe kuishi na mtoto wa chini ya miaka 17! Natanguliza shukurani zangu.
Paskal,
Nimekuomba ufafanuzi, haujanipa ufafanuzi badala yake unanipa tano! Nilidhani hili ni jukwaa la kuelimishana siyo kupongezana.
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Kwa nini urukeruke na vitoto?Hiyo ni zawadi ya umang'amang'a(ukware)!
 
Huyu RC naye bure kabisa! Yaani hiki kicheche ndicho cha kukusanya hata usimamishe? Mbona huko halmashauri ku a madem wakali tu alikosa kweli? Au naye alikuwa domo zege?
Kuna pisi kali sana hapo Simiyu haswa idara za elimu na afya, yaani standards kweli kweli. Yuko mmoja upande wa vyombo vyetu vya usalama ni mzuri hatari, alafu hajaolewa. Wewe unaenda kusumbuana na vicheche kwenye gari lako usiku.
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Kulawiti ni kosa la jinai likiwa limetolewa taarifa.
Sasa Kwa tukio la Mwanza tungelijuaje.
Pili eneo tukio lilipotokea ni eneo sahihi hata kama alikubaliana na mtuhumiwa.

Tatu madaraka ya mtuhumiwa dhidi ya muhanga, unaonaje ni Sawa hata kama alikubaliana.
Kuna tuhuma la Ndugu ya Muhanga kupatiwa kazi, sasa hiyo inakuwa ni kukubaliana au nikulazimika kukubaliana na Hilo tendo.
Rejea suala la Yule Raisi wavBenki ya Dunia na msafisha vyumba vya hotel .

Kuhusu kesi ya Selemani dhidi ya Jamuhuri, umri wa Muhanga ulikuwaje, na sheria inasemaje juu ya Hilo.
Hivi karibuni tumeona kesi za watu maarufu huko Usa Kuhukumiwa au kushtakiwa kutoka na Ku jihusisha na mapenzi na watoto.
Ile kumzidi umri na kuwabna uwezo wa kipesa au Mali kama ghetto ya kumpeleka Mtoto kwako inahesabika kama ni hiari au ni kumburuza mtoto.wa chini ya umri wakuridhia Kwa kuelewa mazingira aliyepo.
Mwisho wewe ni mwandishi wa habari , sasa sijui miiko yako ya kazi inasemaje katika kuandika jina la muhanga katika kesi hii.
 
Huyo rc kapita barabara ya shortcut porini isiyo rasmi lakini leseni haitambui barabara za shortcuts zisizo rasmi. Ukipata ajali, utaulizwa huko ulienda kufanya nini mbona hiyo sio barabara?
😄

Ova
 
Legacy ya JF imejengwa kutokana na uchambuzi wa kina wa habari zenye utata kama hizi. Haya chini ni maoni yangu kama mmoja ya watu tuliosomea cuba lkn hatukumaliza mafunzo.

Turudi nyuma kwanza, binti alielalamika kudhalilishwa kingono na RC Yahaya alishawahi kuwa na kesi huko nyuma ambayo ilipelekea mpenzi wake kufungwa miaka 30 kwa kosa la kubaka. Lkn na hio kesi ilikua na utata sana kama alivyoandika Pascal Mayalla

Inaonekana wazazi wake ili kuzuia fedhea ya mtoto wao kutorokea kwa boda waliamua kulazimisha ionekane mtoto wao alibakwa japo kwa maelezo ya mwanzo ya huyo binti alikiri kuwa alienda kwa jamaa yake kwa utashi wake mwenyewe.

Sasa hawa wazazi nahofia walihonga sehemu au walipewa favor sehemu ili kukamilisha lengo lao la kushinda kesi na kumwangia boda mvua ya miaka 30.

Lkn tunajua favor huwa haziendi burebure. Watesi wa RC Yahaya kama zilivyoonesha chats za whatsapp zilizovuja (alizokuwa anazisoma Maulid Kitenge) walimtumia huyu binti kufanikisha lengo lao la kumuumiza. Je haya matukio mawili yanahusiana? Inawezekana waliowapa wazazi wa huyu binti favor miaka ile ndio wamekuja kudai deni na kumtumia tena huyu binti na mzazi wake kufanikisha nia yao ovu.

Yahaya kama ana team yake na anataka kuwajua wabaya wake aanzie kwenye hio kesi ya yule boda alofungwa miaka 30. Waliofanikisha hio hukumu wanawajua wabaya wake kama sio wao wenyewe.

Mwisho wanaume tuwe makini sana na hawa viumbe, huyu binti kaangusha ndoto za watu wawili kwa kumpa mmoja miaka 30 jela na kumchafua mwingine kwa tuhuma ambazo zitamfuata maisha yake yote. Weekend njema.
Sasa ndio umeandika nini? Hoja yako ni ipi hapo?
 
Ma
Mbona unampokonyoa huyo binti kiasi hicho, komredi Paskali? Umemwita huyo dada kabinti mwanzo mwisho!

Je, huo kweli ni uprofeshono wa tasnia ya uandishi wa habari na sheria?

Nilijua kila mtu anadhaniwa asinati hadi ithibitishwe ana hatia?

Umesema ndiye alisababisha bodaboda akafungwa jela miaka 30, ila usisahau kwamba huyo dada hakuwa hakimu wa kesi. Yeye alikuwa shahidi tu.

Je, unadhani mahakama ilifanya makosa kwenye ile kesi?
Mahakama inaweza kuwa ilifanya makosa kwa sababu mahakama ni mtu kama wewe..
Wangapi katika nchi hii wanafungwa wa ushahidi wa uongo?

Huyo binti anashirikiana na wazazi wake kula pesa za dhuluma za umalaya.
 
Back
Top Bottom