Yaani ukae na binti wa miaka 16 ndani kwako kwa wiki 3 alafu sheria isichukue mkondo wake?It doesn't matter, the whole thing was rigged. Hakupaswa kukaa jela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ukae na binti wa miaka 16 ndani kwako kwa wiki 3 alafu sheria isichukue mkondo wake?It doesn't matter, the whole thing was rigged. Hakupaswa kukaa jela
Mkuu wa mkoa unazurura club usiku, unadinyana kwenye gari?? hayo ndio maadili?SIYO KWELI.
Endapo kama huyo binti angekuwa subordinate wake mahali pake pa kazi, hapa hoja yako ingekuwa Ina mashiko. Lakini kwa kuwa binti huyo ni mtu mzima, na wala Hana uhusiano wowote ule wa kikazi au wa kindugu na huyo ex-RC, basi hakuna maadili yoyote yale ambayo yamekiukwa na huyo RC. Mahusiano yao yalikuwa halali kabisa kwa mujibu wa Sheria za nchi hii.
Paskal,Mhe. Adv. Hilo tukio la kuishi na bodaboda akiwa chini ya umri wa miaka 17 haudhani ni tatizo, hata kama ni mtego haudhani huyo ni mtoto unambaka kwa kutumia utoto wake wa kutojielewa? Naomba unifahamishe kisheria.
Namalizia, kwa kisingizio cha huko nyuma aliwahi kufanya kitu kama hicho kama kinaweza kuhalalisha wewe kuishi na mtoto wa chini ya miaka 17! Natanguliza shukurani zangu.
Umeendelea kufafanua.Only if are the same sex.
Hao ni kwa matumizi ya mara moja kutolea kutuUkizingatia ni kahaya naweza kuunga mkono hoja ! Hata Mimi niliwahi kutapeliwa na binti wa kihaya katika miaka Fulani nilimsaidia katika mahitaji muhimu alivyomaliza chuo akatokomea kusikojulikana !
Huyo wala si Pascal Mayalla, maana akaunti yake inavyoonekana imedukudiliwa na wasiojulikana.Paskal,
Nimekuomba ufafanuzi, haujanipa ufafanuzi badala yake unanipa tano! Nilidhani hili ni jukwaa la kuelimishana siyo kupongezana.
Kwani kisheria tafsiri ya kubaka ni ipi? Hujaona mwanandoa anamshtaki mwenza wake kwa kumbaka?Unaenda hadi nyumbani kwa mtu?
Unakubali pombe,,,unaletewa unakunywa,,,bangi nazo zinakuja unavuta.
Halafu uje useme umebakwa?
Come on guys!
Kwa nini urukeruke na vitoto?Hiyo ni zawadi ya umang'amang'a(ukware)!Wanabodi
Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.
Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.
Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.
Angalia details za issue hii.
Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)
Issue ilikuwa hivi
- Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
- Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
- Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
- Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
- Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
- Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
- Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
- Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
- Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
- Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Paskali
Kuna pisi kali sana hapo Simiyu haswa idara za elimu na afya, yaani standards kweli kweli. Yuko mmoja upande wa vyombo vyetu vya usalama ni mzuri hatari, alafu hajaolewa. Wewe unaenda kusumbuana na vicheche kwenye gari lako usiku.Huyu RC naye bure kabisa! Yaani hiki kicheche ndicho cha kukusanya hata usimamishe? Mbona huko halmashauri ku a madem wakali tu alikosa kweli? Au naye alikuwa domo zege?
Kulawiti ni kosa la jinai likiwa limetolewa taarifa.Wanabodi
Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.
Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.
Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.
Angalia details za issue hii.
Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)
Issue ilikuwa hivi
- Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
- Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
- Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
- Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
- Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
- Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
- Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
- Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
- Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
- Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Paskali
Hata wake zetu tuliowaoa hatukujua mwanzo walianzia wapi, kama walitolewa marina watakwambia? Tumwachie Mungu tu.Kuna BWEGE atakuja kumpigia magoti huyo Binti akitaka kumuoa huku akibubujikwa na machozi,wakati akiwa chuo watu wamemfir.a sana
F.UCK YOU NICE GUYS!
P anasikitisha sana, yaani ule uwezo wake upstair, misimamo na exposure zake zinaondoka kadri umri unavyosongaKuingiliana kinyume kwa sheria za Tanzania ni ko kosa la jinai.penal code imeainisha na adhabu yake.
😄Huyo rc kapita barabara ya shortcut porini isiyo rasmi lakini leseni haitambui barabara za shortcuts zisizo rasmi. Ukipata ajali, utaulizwa huko ulienda kufanya nini mbona hiyo sio barabara?
Sasa ndio umeandika nini? Hoja yako ni ipi hapo?Legacy ya JF imejengwa kutokana na uchambuzi wa kina wa habari zenye utata kama hizi. Haya chini ni maoni yangu kama mmoja ya watu tuliosomea cuba lkn hatukumaliza mafunzo.
Turudi nyuma kwanza, binti alielalamika kudhalilishwa kingono na RC Yahaya alishawahi kuwa na kesi huko nyuma ambayo ilipelekea mpenzi wake kufungwa miaka 30 kwa kosa la kubaka. Lkn na hio kesi ilikua na utata sana kama alivyoandika Pascal Mayalla
Inaonekana wazazi wake ili kuzuia fedhea ya mtoto wao kutorokea kwa boda waliamua kulazimisha ionekane mtoto wao alibakwa japo kwa maelezo ya mwanzo ya huyo binti alikiri kuwa alienda kwa jamaa yake kwa utashi wake mwenyewe.
Sasa hawa wazazi nahofia walihonga sehemu au walipewa favor sehemu ili kukamilisha lengo lao la kushinda kesi na kumwangia boda mvua ya miaka 30.
Lkn tunajua favor huwa haziendi burebure. Watesi wa RC Yahaya kama zilivyoonesha chats za whatsapp zilizovuja (alizokuwa anazisoma Maulid Kitenge) walimtumia huyu binti kufanikisha lengo lao la kumuumiza. Je haya matukio mawili yanahusiana? Inawezekana waliowapa wazazi wa huyu binti favor miaka ile ndio wamekuja kudai deni na kumtumia tena huyu binti na mzazi wake kufanikisha nia yao ovu.
Yahaya kama ana team yake na anataka kuwajua wabaya wake aanzie kwenye hio kesi ya yule boda alofungwa miaka 30. Waliofanikisha hio hukumu wanawajua wabaya wake kama sio wao wenyewe.
Mwisho wanaume tuwe makini sana na hawa viumbe, huyu binti kaangusha ndoto za watu wawili kwa kumpa mmoja miaka 30 jela na kumchafua mwingine kwa tuhuma ambazo zitamfuata maisha yake yote. Weekend njema.
Haijalishi,mtu wa hadhi yake alipaswa kuwa na moral values of very high standard.Labda alikuwa hakafaham hasa historia yake
Kwa hio waliocomment wote kabla yako ni vichaa kuelewa nilichoandika?Sasa ndio umeandika nini? Hoja yako ni ipi hapo?
Sasa umeconnect dots gani mkuu? Inawezekanani kweli ni vichaa.Kwa hio waliocomment wote kabla yako ni vichaa kuelewa nilichoandika?
Hv unajua saikolojia inasema kichaa huwaone wengine wote ni vichaa?Sasa umeconnect dots gani mkuu? Inawezekanani kweli ni vichaa.
Mahakama inaweza kuwa ilifanya makosa kwa sababu mahakama ni mtu kama wewe..Mbona unampokonyoa huyo binti kiasi hicho, komredi Paskali? Umemwita huyo dada kabinti mwanzo mwisho!
Je, huo kweli ni uprofeshono wa tasnia ya uandishi wa habari na sheria?
Nilijua kila mtu anadhaniwa asinati hadi ithibitishwe ana hatia?
Umesema ndiye alisababisha bodaboda akafungwa jela miaka 30, ila usisahau kwamba huyo dada hakuwa hakimu wa kesi. Yeye alikuwa shahidi tu.
Je, unadhani mahakama ilifanya makosa kwenye ile kesi?