Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Na wewe huna tofauti na hako kabinti unayepiga kunuti,uovu mtupu,kamfuata wa nini? Si angebaki na mkewe,umalaya mtu.Ninyi ndio mnaoacha Mungu ailaani dunia.
Kwani wewe ni Baba wa huyo bint hadi unathibitisha tuhuma kuwa ni kweli? unajua Kunuti au Albadiri ina kawaida ya kutafuta? kama huyo bint amebakwa kweli haiwezi kumpata na kama ametumika kisiasa inamzoa ndani ya Wiki Moja tu anakuwa Kichaa wa kutembea Uchi.
 
Kabinti ni kashenzi sana,ila Nawanda nae alizingua mtu ushakua na wadhfa wa RC bado unatoka na vibinti mcharuka vya nini wakati mishangazi ipo.
Tena MISHANGAZI YA CCM ipo mingi tu, unamwambia Mwen.... na wanakuja..

Simlaumu MWAMBA, kwasisi wanywa pombe uwa yanatukuta pindi pombe inapokolea alafu imeshuka CHINI! Hata akipita JINI MWANAMKE utamwita bila kumthaminisha kama ni binadamu kweli ili ukachuje!
 
kwani mkuu kwa sababu wewe ni mwanasheria je inaruhusiwa kufanya mapenzi na wmanafunzi hata kama alijipeleka kwa hiari yake? na je hicho kitendio kisheria kinaitwaje? ni ubakaji au ni hiari
Lakini ukisoma rufaa ya Jaji, mashahidi walishindwa kuthibitisha ubakaji na mtuhumiwa akafungwa kwa kosa la "utekaji/abduction"....katika ushahidi binti alijieleza vizuri kuwa "walikuwa wanafanya mapenzi" hivyo mahakama ya juu haikumkuta kijana na kosa la ubakaji

Itoshe kusema tu kuwa "RC ni mwanaume kama wanaume wengine, "ushenzi" alioufanya wa kutembea na vibinti vidogo unatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, HATA HIVYO haifuti ukweli wa mambo haya mawili:-
1. Huyu binti ni "kahaba" mzoefu asiyefaa katika jamii kwa rejea ya hii kesi iliyomfunga boda boda

2. Kuna mchezo mchafu wa kisiasa uko nyuma ya hii kesi kwasababu isingekuwa rahisi taarifa zenge muhuri wa "SIRI" tena kutoka mamlaka nyeti ya upelelezi kuvuja kirahisi
 
Nilishasema story ya huyu mtoto ina walakini haiwezekani ufanywe january na unasema hukuprnda ulichofanyiwa halafu june urudi trna kutoka chuo kilomita hamsini huko kumfuata tena mtu huyo huyo , hako katoto ni kamalaya kazoefu kana blackmail watu
 
Ndio hapo
 
Wengi huko CCM na ndani ya serikalini kuanzia juu kabisa kuleeeeeee[emoji1318][emoji1318][emoji1318]ni wasagaji, wafiraji, wafwiraji, mashoga na uchafu wa aina zote..!

Huko CCM ni balaa aisee
 
Sasa na wewe unazeeka vibaya. Yaani unadiriki kusema uthibitisho wa kuwa kalibakwa ni kutokuwa na "b", je huko Mpanda vipimo vingine vya kuthibitisha kama DNA haviruhusiwi kufanyika au uchunguzi wako umeufanya kwa papara sana. Rudia zoezi kulinda uzoefu wako vinginevyo utaonekana umechuja.
 
Huyo binti ni malaya
Hata huyo RC ni malaya tena hatari maana kwa madaraka aliyo nayo na kuwa na tabia chafu ni rahisi sana kuieneza.
Tunapigiwa kele na UVCCM eti mtandao wa X ufungiwe badala ya kufungia viongozi wa CCM wala mparange?
 
Sasa huyo bodaboda mnamsaidiaje?
 
Tunamlaumu RC kutembea na vibinti vidogo, kwani Binti mdogo Sheria sina inasema ni chini ya 18yrs.?

Ukiwa RC huruhusiwi kuendelea na maisha yako binafsi baada ya kazi, kwenye free time yako?
Ukiwa RC huruhusiwi kununua makahaba, au wanakuwa hawana hamu?

RC akikataa hajamlawiti binti bali walifanyana kawaida baada ya negotiation na Binti Tu ameamua kutafuta maisha kwa RC au nyuma ya binti kuna maadui wa RC, je Binti anawezaje kuthibitisha aliingiliwa na RC na sio mtu/watu wengine huko nyuma?
Kama kuna DNA test itathibisha vinasaba vya RC kwenye utupu wa nyuma wa Binti na kuonyesha Binti aliingiliwa na watu wengine sio RC tutakuwa tayari kulazimisha mahakama imfunge huyu Binti 30yrs na awataje wenye hivyo vinasaba waliowahi kumuingilia?..

Kesi hii tusipokuwa makini inaweza kuleta madhara makubwa sana kwenye jamii Kwa mabinti wengi kuanza kublackmail watu kwa kigezo hiki chakulazimishwa ilihali kulikuwa na makubaliano au Binti mwenyewe anapenda na alilazimisha hilo au mabinti makahaba kufanya mapenzi kawaida na watu wenye status kusingizia wameingiliwa kinyume ilihali ni wazoefu wakuingiliwa huko na masela wa kitaa.
 
Ulikuwa mbele ya muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…