Simu anayotumia bilionea Aliko Dangote

Simu anayotumia bilionea Aliko Dangote

Scorpio Me

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
6,119
Reaction score
7,934
Hiyo ndi simu ya Dangote, inaitwa Nokia Vertu Signature. Bei yake ni $5000-$7500. Convert kwa pesa ya madafu, km 16.5M/= hivi.......Alhaji sio mtu wa kisport sport
[emoji124]


53fc17aaa5118967dfa728344c4a17ce.jpg
 
Hiyo simu huwa inatengenezwa kwa mikono kifaa kimoja kimoja, haitengezwi kwa mashine kama hizi nyingine,
ndomana inauzwa bei kubwa
Hata kama ni bei kubwa lakin sio 16m mkuu
 
Back
Top Bottom