Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Reuben Challe mkuu umekimbia Uzi?!reuben Challe kati ya oppo k12 turbo mpya ,au redmi note 12 turbo au google pixel 6used unashaur ipi
Sijui kuhusu simu ila OPPO sio simu.reuben Challe kati ya oppo k12 turbo mpya ,au redmi note 12 turbo au google pixel 6used unashaur ipi
Ipi Kati ya hizo haina button moja ya home screen. Yaani Ile kurudi nyumbani inakua na libatani limoja katikati..... Ipi HAINA?Chipset ya mediatek helio 99 iliyopo kwenye A15 bado ina stuck. Niliwahi tumia Sharp Aqous sense 7 na R6. Simu zipo fasta kuzidi. Kwa bajeti ya 380k mpaka 400k unaweza miliki hiyo mitumba.View attachment 3120348
View attachment 3120350
Mmh baki na unachokiamin unachambua simu kwa majina na sio specification weweSijui kuhusu simu ila OPPO sio simu.
S21 GB 256 line 1Mkuu kwa bajeti ya 500k
Samsung ipi itakuwa nzuri hasa kwenye perfomance, camera & battery
Unaweza nielezea globe rom ikoje na Chinese rom ikojeHii simu nzuri sana, lakini hakikisha unanunua yenye Chinese rom, ukichukua yenye globle rom utapata shida ya network.
Hizi simu zimetoka ni Chinese version tu, hakuna globe version, sasa Hawa wauzaji wameweka rom ya Poco f5 ambayo ni globe version. Kwa simu hii Redmi note 12 turbo usije ukachukua yenye globe rom utapata shida ya network fluctuate.Unaweza nielezea globe rom ikoje na Chinese rom ikoje
tafadhari tumia lugha rahisi tusio wa tech tukueleweHizi simu zimetoka ni Chinese version tu, hakuna globe version, sasa Hawa wauzaji wameweka rom ya Poco f5 ambayo ni globe version. Kwa simu hii Redmi note 12 turbo usije ukachukua yenye globe rom utapata shida ya network flactuate.
Hizi simu ni special Kwa china, sasa wauzaji wametaka soko la kimataifa na hapo Kwa kuweka rom ya kimataifa, hapo ndio shida ya network inatokea inapanda na kushuka, sasa ili usipate shida ya network chukua yenye Chinese rom. Achana na hizi za global rom.tafadhari tumia lugha rahisi tusio wa tech tukuelewe
Huna redmi note 12s au note 10 au note 11 na note 11s?Nauza Redmi note 13 pro 4G
Simu ni mpya
IPO kwenye box lake
Mawasiliano
WhatApp 0763443210
Chipset ya mediatek helio 99 iliyopo kwenye A15 bado ina stuck. Niliwahi tumia Sharp Aqous sense 7 na R6. Simu zipo fasta kuzidi. Kwa bajeti ya 380k mpaka 400k unaweza miliki hiyo mitumba.View attachment 3120348
Samahani hii cm naitaka sana sema ni laini moja hivi hii R6 kuna yenye laini mbili?? Maana now nataka cm yenye adge aise.
vipi note 10+ Samsung line 1 sh ngapiS21 GB 256 line 1
Used from Japan nauza
Hio Bei ipo juu sana, Unapaswa uinunue 300k na si zaidi ya hapo.Naomba kuuliza, Kuna hii inaitwa XIAOMI REDMI 14C,( 450k,128gb,8gb,13mp front camera,50mp rear camera) nahitaji kununua, vipi ufanisi wake kwa anayefahamu....