Simu Camera yake unapiga picha mpaka ndani kabisa unaona

Simu Camera yake unapiga picha mpaka ndani kabisa unaona

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Nahitaji simu ya bei ya kawaida tu lakini iwe na camera kali kiasi ukimpiga mtu picha amevaa nguo unaona mpaka ndani na kama ni mwilini hadi unaona viungo vilivyoko ndani maini, figo,firigisi, utumbo n.k

Natamani sana na ninawaza kuweza tengeneza simu ya namna hiyo. Huu ugunduzi ni wangu kabisa na najua nitauza sana. Ukimchukua mtu video unaona mpaka anachowaza. Unaona mapigo yake ya moyo n,k. hii simu itakuwa na camera ambayo ni kali sana kiasi unaweza kuona bacteria vizuri kabisa bila chenga.

Naomba wadau wengine wa teknolojia tuweze kutana na kushare haya maujuzi.. tutakuwa matajiri sana niaminini mimi. Kila teknolojia ilianzia kwenye mawazo na kuonekana haiwezekani ila watu wakapambana na hatimaye kufanikiwa. Njooni tujiunge sisi wenye akili na wavumbuzi.
 
Asante dj walete waki mama wadogo na kamera man yupo tayar kwa picha mnato
daaahh.........umewaza mbali sana............ 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
we jamaa kama mzazi wako angetimiza lile aliloahidi kuwa angejizuia kumaliza ndani leo hii usingekuwepo. sema tu alishindwa na aligoma kutumia kinga kwa hao watu wa aina hiyo....aliokuwa akiwatumia.condom zinasaidia sana basi tu watu wanakuwa wabishi.
We ndo takataka kabisa, ukishapata hyo simu piga picha na mamaako alaf tupostie hapa

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
We ndo takataka kabisa, ukishapata hyo simu piga picha na mamaako alaf tupostie hapa

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
kama ingetumika condom leo hii usingekuwa hapa.... mbona una makasiriko makubwa hivi? alichokosea mzazi wako usilete hasira kwa wengine.... tulia dada....
 
Mkuu kama una shida ya kuwashuhudia akina bacteria nenda kwenye mavinyesi utawaona wengi tu
 
Watakuja kuuliza elimu yako kwa sasa, labda ume specify kwenye telecommunication, modern science, electronics au ndo uko Advance mkuu?
Ngoja waje, na kama uko level chini ya degree au nyingine tofauti na hizo tajwa hapo juu watasema uache kuota!
Mi simo! [emoji125][emoji125]
 
xray mashine zenyewe zinachukua picha upande wa pili baada ya mionzi kupenya ktk viungo,haiwezi kuchukua image upande A bila source upange B,tena image yenyewe ni ya mazonge sio clear image na rangi zake 7.

sasa hii camera yako sijui itafanyaje kazi.anyway kwa sasa tuko kwenye micro camera,kuona particle ndogo kabisa.subiri subiri labda 2030 huko.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Njooni mumuone mwenzake huku
 
Inafungwa CT scanner+ultra sound
 
Back
Top Bottom