Simu gani inajaa chaji mapema zaidi ya hii

Simu gani inajaa chaji mapema zaidi ya hii

Joined
Nov 8, 2017
Posts
59
Reaction score
63
Simu gani inajaa chaji mapema zaidi duniani kuliko hii


Screenshot_20211014-145024.jpg



 
Zipo Nyingi Sana Mojawapo Ni Samsung Galaxy A12 Duos
 
Hakuna haja yakuacha simu kwenye charge overnight...kama iphone(joking)
Unaamka asubuhi unaboost shorlty inakutosha kwa siku nzima.....
Pia uhitaji wa battery kubwa utapungua kwasababu hata ikikuishia chaji unaboost kwa muda mfupi sana
 
Hili panga linakata kote kote, maana battery nayo inakufa mapema, mwaka ama miaka 2 kama una matumizi makubwa kwisha kazi, battery inatakiwa ibadilishwe.
Tusubiri labda uko baadae watazifanyia marekebisho.

hivi simu yenye 240W.inatumia muda kiasi gani mpaka simu ijae full
 
Tusubiri labda uko baadae watazifanyia marekebisho.

hivi simu yenye 240W.inatumia muda kiasi gani mpaka simu ijae full
Bado hazijatoka kwa simu ila prototype ya Xiaomi ya 200W inatumia dakika 8 kujaza simu.
 
Back
Top Bottom