Saa kumi na moja
Member
- Nov 8, 2017
- 59
- 63
Simu gani inajaa chaji mapema zaidi duniani kuliko hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gsm Arena hawajaiwekea maelezo yakutosha. Sijui kwa nnZipo Nyingi Sana Mojawapo Ni Samsung Galaxy A12 Duos
Hiyo Uliyoiweka Wewe Ni Aina Gani Ya SimuGsm Arena hawajaiwekea maelezo yakutosha. Sijui kwa nn
Xiaomi black 4s pro.Hiyo Uliyoiweka Wewe Ni Aina Gani Ya Simu
Niliwahi kuandika humu, hii ni usb standard mpya ambayo inaenda hadi watts 240, hivyo tegemea simu kibao kuwa hivi, even infinix wana yao.
Hii itakuwa nzuri especially kwa sisi Waafrika sababu nishati ya umeme ni changamotoNiliwahi kuandika humu, hii ni usb standard mpya ambayo inaenda hadi watts 240, hivyo tegemea simu kibao kuwa hivi, even infinix wana yao.
Hivyo mkuu soon unatoona simu kibao zinazojaa kwa robo saa tu.
Hili panga linakata kote kote, maana battery nayo inakufa mapema, mwaka ama miaka 2 kama una matumizi makubwa kwisha kazi, battery inatakiwa ibadilishwe.Hii itakuwa nzuri especially kwa sisi Waafrika sababu nishati ya umeme ni changamoto
hapa batterh within 6 month's or a year lazma ubadishe au life kabisa
Tusubiri labda uko baadae watazifanyia marekebisho.Hili panga linakata kote kote, maana battery nayo inakufa mapema, mwaka ama miaka 2 kama una matumizi makubwa kwisha kazi, battery inatakiwa ibadilishwe.
Bado hazijatoka kwa simu ila prototype ya Xiaomi ya 200W inatumia dakika 8 kujaza simu.Tusubiri labda uko baadae watazifanyia marekebisho.
hivi simu yenye 240W.inatumia muda kiasi gani mpaka simu ijae full
Ule msemo "chochote kizuri kina mapungufu" kumbe una maana kubwa sanahapa batterh within 6 month's or a year lazma ubadishe au life kabisa
mmh.Dunia inaenda kasi sana Chief. Simu zitakazo tengenezwa miaka 10 ijayo sijui zitakuwajeBado hazijatoka kwa simu ila prototype ya Xiaomi ya 200W inatumia dakika 8 kujaza simu.