ashomile JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 2,739 Reaction score 2,697 Oct 18, 2021 #41 Chief-Mkwawa said: Hapana battery zinakaa miaka hadi mitano ukizitunza vizuri, ama Zaidi. Hii simu ya 2017 Mwaka wa 4 huu ina 2700mah, now real capacity ni 2500mah imepoteza kama 10% tu, View attachment 1974682 Click to expand... Mkuu hii ni application gani umetumia kuangalia capacity ya betri lako?
Chief-Mkwawa said: Hapana battery zinakaa miaka hadi mitano ukizitunza vizuri, ama Zaidi. Hii simu ya 2017 Mwaka wa 4 huu ina 2700mah, now real capacity ni 2500mah imepoteza kama 10% tu, View attachment 1974682 Click to expand... Mkuu hii ni application gani umetumia kuangalia capacity ya betri lako?
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 31,559 Reaction score 42,179 Oct 18, 2021 #42 ashomile said: Mkuu hii ni application gani umetumia kuangalia capacity ya betri lako? Click to expand... Hio ni built in service mode ya Sony, kutokana na kampuni na kampuni njia zinatofautiana. Ipo app inaitwa accubattery unaweza tumia simu yoyote ya android, sema inabidi ucharge simu mara kadhaa kupata jibu zuri.
ashomile said: Mkuu hii ni application gani umetumia kuangalia capacity ya betri lako? Click to expand... Hio ni built in service mode ya Sony, kutokana na kampuni na kampuni njia zinatofautiana. Ipo app inaitwa accubattery unaweza tumia simu yoyote ya android, sema inabidi ucharge simu mara kadhaa kupata jibu zuri.
ashomile JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 2,739 Reaction score 2,697 Oct 18, 2021 #43 Chief-Mkwawa said: Hio ni built in service mode ya Sony, kutokana na kampuni na kampuni njia zinatofautiana. Ipo app inaitwa accubattery unaweza tumia simu yoyote ya android, sema inabidi ucharge simu mara kadhaa kupata jibu zuri. Click to expand... Ahaa shukrani sana
Chief-Mkwawa said: Hio ni built in service mode ya Sony, kutokana na kampuni na kampuni njia zinatofautiana. Ipo app inaitwa accubattery unaweza tumia simu yoyote ya android, sema inabidi ucharge simu mara kadhaa kupata jibu zuri. Click to expand... Ahaa shukrani sana
A Agera 1 JF-Expert Member Joined Jun 5, 2014 Posts 4,088 Reaction score 4,226 Feb 12, 2022 #44 Samcezar said: Battery ya simu ikikaa imara miaka miwili hiyo ni nzuri mbona Click to expand... 3yrs now from 4000mah to 3529mah .. 10w charge
Samcezar said: Battery ya simu ikikaa imara miaka miwili hiyo ni nzuri mbona Click to expand... 3yrs now from 4000mah to 3529mah .. 10w charge