Simu inapokuwa sisimua!!!

Simu inapokuwa sisimua!!!

Wadau jamani hapa kuna tatizoo!!
Hivi naomba kuwekwa sawa katika hili jambo kwani nafahamu mambo haya kwenye jamii yanajirudia lakini inategemea ni wakati gani na mazingira yapi!,Mpenzi wangu anataka kila simu inayopigwa afahamu SMS aisome!! nikisema kila mmoja ana simu yake hivyo haifai kufatiliana kwenye simu ya mwenziye anasema je Una love afair nje zaidi yangu??Nimeweka securty code anataka ajue code yake!! hapo ndo ugonvi unapokuja kisa eti kama mimi nimpenzi wake kwanini nifiche??nakwanini niweke securty code??yeye eti kwanini afichi??Je hiyo ni halali kunyanyaswa kwenye simu yangu?Kwanini kila mmoja asikae na simu yake?kwanini utafute shari kwenye simu ya mwenziyo eti nyie wabeijing nini jamani??:A S 39:??

Kama ni mpenzi wako mwana usiruhusu ajue kila unachokijua wala asimjue kila unaemjua. kama ni mke hiyo inakua level nyingine koz anaweza akajua 90% ya mambo yako.....kaza buti man....Tena akizidi kuifuatilia simu yako nunua na Tv ya Pili kila mtu awe na yake na hukuna wa kuangalia TV ya mwenzake ndo atajua upo serious na simu yako....Hop umenisoma
 
mpe asome klwa sababu kinacho mfanya ang'ang'anie ni tabia zako ameshazishtukia.au badilika mpaka imani imrudie ndio uanze tena hayo mambo yako.
 
Asprin
user-offline.png
JF Premium Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


heheheeh kiongozi usije ukaoverdose wagonjwa aisee.


beki to ze topik: hako kasimu mimi huwa namuachiaga waifu anakachezea kama katoyz ,hata samtaimu ikipigwa simu namuambiaga apokee (huwa anakasirikaga ananiambia "sasa mie mke wako au sekretari wako?).
 
Inang'ata kote kote... kuna mwenzi mwingine akipewa uhuru na simu maana yake kapewa uhuru wa maswali ya kipolisi... utajibu swali la kwanza, linazaa lingine.. mwishowe inakuwa kesi bin balaa..!! Tukubali tusikubali... kila mtu inafikia wakati anahitaji faragha katika baadhi ya vitu, mawazo n.k.
Mfano: Fikiria sms yenye utata ya mtu (ambae wote hamumfahamu) inaingia ktk ki-selula cha barafu wako na unaisoma... wadhani atatumia nguvu kiasi gani kukuelimisha?!!!

Nakubali kusahihishwa!!:lying:
 
Inang'ata kote kote... kuna mwenzi mwingine akipewa uhuru na simu maana yake kapewa uhuru wa maswali ya kipolisi... utajibu swali la kwanza, linazaa lingine.. mwishowe inakuwa kesi bin balaa..!! Tukubali tusikubali... kila mtu inafikia wakati anahitaji faragha katika baadhi ya vitu, mawazo n.k.
Mfano: Fikiria sms yenye utata ya mtu (ambae wote hamumfahamu) inaingia ktk ki-selula cha barafu wako na unaisoma... wadhani atatumia nguvu kiasi gani kukuelimisha?!!!

Nakubali kusahihishwa!!:lying:

Hapo kwenye bold ndio mashaka huanza; Kwa nini ahitaji kutumia nguvu kukuelimisha na si busara ili uelewe?:A S-eek:
 
Back
Top Bottom