Simu inapokuwa sisimua!!!

Simu inapokuwa sisimua!!!

Kama mke wako anaona sawa hakuna neno. Ila ukikwazika akaleta mada tutamshauri na kumpatia uzoefu wa upande mwingine. Yaani sisi wengine tusiojua kitu kinachitwa codes na unnecessary privacy kwenye ndoa!
Yule mama wala hata hajui kama simu yangu nimeilock au laa. Sikumbuki kama alishawahi kuishika simu yangu.
 
sijawahi kufikiria kuweka codes kwa sasa lakini pia sioni ubaya kwa anayeweka codes KWA SABABU ZA KIUSALAMA.....!

sijawahi kufikiria ''kuperuzi na kudadisi'' kwenye simu ya waifu...!na hakuna kitu nisichokipenda kama yeye ataintatein kuperuuuzi na kudadisi aste aste kwenye simu yangu!....BY THE TIME AKIDANGANYWA KUFANYA HUO UPUUZI she will be on her way to her home the next day...

nimemaliza hapo
 
sijawahi kufikiria kuweka codes kwa sasa lakini pia sioni ubaya kwa anayeweka codes KWA SABABU ZA KIUSALAMA.....!

sijawahi kufikiria ''kuperuzi na kudadisi'' kwenye simu ya waifu...!na hakuna kitu nisichokipenda kama yeye ataintatein kuperuuuzi na kudadisi aste aste kwenye simu yangu!....BY THE TIME AKIDANGANYWA KUFANYA HUO UPUUZI she will be on her way to her home the next day...

nimemaliza hapo
Hayo huwa yanaitwa maamuzi mazito ya kushtukiza...........:sick:
 
Hayo huwa yanaitwa maamuzi mazito ya kushtukiza...........:sick:
mara nyingi hufanyika baada ya valuu ya tatu....
unakuwa flexible kuamua chochote hapo
 
Vipi kuhusu wallet? Wengine tuko free, wife akihitaji pesa unamwambia kaangalie kwenye wallet kama hauko nayo kwa wakati ule. Kuna stori za watu waliowabamba wake zao wakipekua wallet zao bila idhini yao. Kuna similar stories za wanaume wanaokagua mikoba ya akina mama. Je tunatakiwa kuwa free kiasi gani na wallet/handbags za wenzetu?
 
Vipi kuhusu wallet? Wengine tuko free, wife akihitaji pesa unamwambia kaangalie kwenye wallet kama hauko nayo kwa wakati ule. Kuna stori za watu waliowabamba wake zao wakipekua wallet zao bila idhini yao. Kuna similar stories za wanaume wanaokagua mikoba ya akina mama. Je tunatakiwa kuwa free kiasi gani na wallet/handbags za wenzetu?
Kwangu mimi wallet ni mali halali ya mama watoto. Aichukue ajisevie anavyotaka. Ila simu? HAPANA. HAPANA KWAKWELI.
 
sijawahi kufikiria kuweka codes kwa sasa lakini pia sioni ubaya kwa anayeweka codes KWA SABABU ZA KIUSALAMA.....!

sijawahi kufikiria ''kuperuzi na kudadisi'' kwenye simu ya waifu...!na hakuna kitu nisichokipenda kama yeye ataintatein kuperuuuzi na kudadisi aste aste kwenye simu yangu!....BY THE TIME AKIDANGANYWA KUFANYA HUO UPUUZI she will be on her way to her home the next day...

nimemaliza hapo

mmh hivyo tu unamtimua,
 
Nafikiri kuna mambo ambayo huwa ni ya binafsi zaidi. Unaweza kuwa una mambo mhimu ambayo unawasiliana na wazazi wako au kuna jamaa zako ambao mnafanya nao mambo ambayo si lazima mkeo ajue, sasa kama kila simu itakayopigwa na msg itakayoingia anataka na yeye asikie au asome ina maana sababu ya kuwa na simu ya kiganjani ni nini? Si bora kununua TTCL ya mezani? Kwa mfano ofisini huwa kuna siri nyingi na za aina tofauti tofauti. Kuna ambazo unaweza kushare na mkeo au mmeo kuna nyingine huwezi. Sasa kama akikagua simu yako akaziona itakuwaje? Nafikiri ni vizuri kuwe na mipaka ya uhuru katika simu.

nakubaliana na wewe kuwa sio kila chako mkeo anapaswa kukijua.........

mfano mume ametunza siri ya rafiki yake (labda ugomvi na familia yake, nk).......hili halitakiwi kujuulikana na mke wa mume lakini mke akitaka kujua kila cha mume atamfujia mume na atakosa kuaminiwa na rafiki zake.
na same inatokea kwa mke.

nakubali kuwa japo kuwa hakuna siri baina ya mke na mume .....kuna siri baina ya siri za mume na rafiki zake.

akina mama tunakosea kulazimisha kujua simu za mwanamme zoteee na email zake ...........let the guy have some breathing space. let him keep his friends as his....hatutakiwi kujua kila kitu
 
nakubaliana na wewe kuwa sio kila chako mkeo anapaswa kukijua.........

mfano mume ametunza siri ya rafiki yake (labda ugomvi na familia yake, nk).......hili halitakiwi kujuulikana na mke wa mume lakini mke akitaka kujua kila cha mume atamfujia mume na atakosa kuaminiwa na rafiki zake.
na same inatokea kwa mke.

nakubali kuwa japo kuwa hakuna siri baina ya mke na mume .....kuna siri baina ya siri za mume na rafiki zake.

akina mama tunakosea kulazimisha kujua simu za mwanamme zoteee na email zake ...........let the guy have some breathing space. let him keep his friends as his....hatutakiwi kujua kila kitu



The Following User Says Thank You to Gaijin For This Useful Post:

Asprin (Today)​
 
Vipi kuhusu wallet? Wengine tuko free, wife akihitaji pesa unamwambia kaangalie kwenye wallet kama hauko nayo kwa wakati ule. Kuna stori za watu waliowabamba wake zao wakipekua wallet zao bila idhini yao. Kuna similar stories za wanaume wanaokagua mikoba ya akina mama. Je tunatakiwa kuwa free kiasi gani na wallet/handbags za wenzetu?

Jamaa yangu mmoja hakuwa na tabia ya kukagua handbag ya mama hata siku moja; lakini weekend mkewe aliaga kwenda saloon na katika maandalizi ya kwenda saloon alinote kuwa kuwa kuliwekwa kanga kwenye mkoba wa mama. Hakumwuliza kitu na akamwacha bibie aende na mra aliporudi tu akampokea mkewe mkoba na kuamua kuangalia ; ndipo akakutana na kanga na zaidi akakutana ka KUFULI! Kilichoendelea ni songombingo na ndoa iko hatihati mpaka sasa! Sasa hapa utalaumu udadisi wa huyo Jamaa yangu?
 
Wadau jamani hapa kuna tatizoo!!
Hivi naomba kuwekwa sawa katika hili jambo kwani nafahamu mambo haya kwenye jamii yanajirudia lakini inategemea ni wakati gani na mazingira yapi!,Mpenzi wangu anataka kila simu inayopigwa afahamu SMS aisome!! nikisema kila mmoja ana simu yake hivyo haifai kufatiliana kwenye simu ya mwenziye anasema je Una love afair nje zaidi yangu??Nimeweka securty code anataka ajue code yake!! hapo ndo ugonvi unapokuja kisa eti kama mimi nimpenzi wake kwanini nifiche??nakwanini niweke securty code??yeye eti kwanini afichi??Je hiyo ni halali kunyanyaswa kwenye simu yangu?Kwanini kila mmoja asikae na simu yake?kwanini utafute shari kwenye simu ya mwenziyo eti nyie wabeijing nini jamani??:A S 39:??

hao wapo china.........eeh???
 
Jamaa yangu mmoja hakuwa na tabia ya kukagua handbag ya mama hata siku moja; lakini weekend mkewe aliaga kwenda saloon na katika maandalizi ya kwenda saloon alinote kuwa kuwa kuliwekwa kanga kwenye mkoba wa mama. Hakumwuliza kitu na akamwacha bibie aende na mra aliporudi tu akampokea mkewe mkoba na kuamua kuangalia ; ndipo akakutana na kanga na zaidi akakutana ka KUFULI! Kilichoendelea ni songombingo na ndoa iko hatihati mpaka sasa! Sasa hapa utalaumu udadisi wa huyo Jamaa yangu?

kumbe kuna watu wanakagua handbag ya mama? jamani matatizo mengine yakujitakia
 
Back
Top Bottom