Wadau jamani hapa kuna tatizoo!!
Hivi naomba kuwekwa sawa katika hili jambo kwani nafahamu mambo haya kwenye jamii yanajirudia lakini inategemea ni wakati gani na mazingira yapi!,Mpenzi wangu anataka kila simu inayopigwa afahamu SMS aisome!! nikisema kila mmoja ana simu yake hivyo haifai kufatiliana kwenye simu ya mwenziye anasema je Una love afair nje zaidi yangu??Nimeweka securty code anataka ajue code yake!! hapo ndo ugonvi unapokuja kisa eti kama mimi nimpenzi wake kwanini nifiche??nakwanini niweke securty code??yeye eti kwanini afichi??Je hiyo ni halali kunyanyaswa kwenye simu yangu?Kwanini kila mmoja asikae na simu yake?kwanini utafute shari kwenye simu ya mwenziyo eti nyie wabeijing nini jamani??:A S 39:??