Simu janja / Smartphone kuendelea kuwa saizi kubwa kiganjani kuzidi za zamani, hii ni kero kwangu tu au?

Simu janja / Smartphone kuendelea kuwa saizi kubwa kiganjani kuzidi za zamani, hii ni kero kwangu tu au?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Smartphone kibao siku hizi zimekua kubwa sana aisee, hasa hizi za line mbili ambazo kibongobongo ni wengi tunatumia line za ziada.

Nakumbuka zamani simu kibao zilikuwa zinakaa kiganjani unakuta saizi yake ni incni 5.0 kushuka chinim yani kiganjani unatumia fresh.

hizi mpya yani kawaida kukuta nyingi zinaanzia inchi 6.2 na kuendelea, yani haya kukaa kiganhani inabid utanue sana kiganja na muda mwingine itabidi utumie mikono miwili.

Mfano, kwa miaka hii miwili 2021 na 2022 hakuna smartphone yenye kioo chenye ukubwa angalau wa 5.5 kushuka chini.

Unafurahizhwa na hizi saizi?
 
Smaetphone kibao siku hizi zimekua kubwa sana aisee, hasa hizi za line mbili ambazo kibongobongo ni wengi tunatumia line za ziada.

Nakumbuka zamani simu kibao zilikuwa zinakaa kiganjani vizuri ila hizi mpya yani nyingi zinaanzia size 6.0 na kuendelea ni kubwa sana,

Unafurahizhwa na hizi saizi?
Nikubwa mno wapunguze kipimo nikero kwang mvaa surual modo
 
matekeno ndio yanakuwaga makubwa sana...iphone S6 viportable
 
matekeno ndio yanakuwaga makubwa sana...iphone S6 viportable
Siku hizi simu zote dual ni kubwa, achana na hio iphone ilizinduiwa wakati mwendazake anaingia madarakani, ila si mbaya kama watumia maana waarabu walizichoka wamezileta huku nanyi mtumie tumie
 
Wametufikiria na sisi wapenda games na kuangalia movies.

The larger the screen the higher the fantasy.

Hapa nina Infinix yangu nikiingia COD Mobile au PUPG full burudani,kwanza sina hofu na chaji.
 
Ndogo zipo mbona. iPhone 13 mini. Galaxy FE. Kila brand kubwa wana ka mini kao.
 
Sisi vijana wa cuba tayari tushaweka nongwa hapa😀😀.
 
Back
Top Bottom