sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nikubwa mno wapunguze kipimo nikero kwang mvaa surual modoSmaetphone kibao siku hizi zimekua kubwa sana aisee, hasa hizi za line mbili ambazo kibongobongo ni wengi tunatumia line za ziada.
Nakumbuka zamani simu kibao zilikuwa zinakaa kiganjani vizuri ila hizi mpya yani nyingi zinaanzia size 6.0 na kuendelea ni kubwa sana,
Unafurahizhwa na hizi saizi?
Siku hizi simu zote dual ni kubwa, achana na hio iphone ilizinduiwa wakati mwendazake anaingia madarakani, ila si mbaya kama watumia maana waarabu walizichoka wamezileta huku nanyi mtumie tumiematekeno ndio yanakuwaga makubwa sana...iphone S6 viportable
soma vizuri post nzimaNdogo zipo mbona. iPhone 13 mini. Galaxy FE. Kila brand kubwa wana ka mini kao.
Sababu simu zimepunguzwa Bezel Inch 6 ya sasa ni kama 5 ya zamani.Smartphone kibao siku hizi zimekua kubwa sana aisee, hasa hizi za line mbili ambazo kibongobongo ni wengi tunatumia line za ziada...