Nimetumia İPhone tangu inaanza hadi leo.TECNO,ITEL<ORAIMo na ndugu zake ndio wana life span, vyuma kama iphone ni chuma cha mjerumani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetumia İPhone tangu inaanza hadi leo.TECNO,ITEL<ORAIMo na ndugu zake ndio wana life span, vyuma kama iphone ni chuma cha mjerumani.
Milioni mbili tu??? Hiyo simu ijiandae2,257,211.76 Tanzanian Shilling
Na bado hizo ni tetesi na hizi hapa ni picha za kubuni hazina uhalisia hadi sasa
View attachment 3053012View attachment 3053013View attachment 3053012View attachment 3053013
Bora ufanye mambo mengine maana hizi tetesi ni za muda mrefu ... Sema mtoa mada naye mwongo mwongo anatuaminisha Tesla wataitoa mwezi August kitu ambacho hata kampuni haijatoa taarifa.Milioni mbili tu??? Hiyo simu ijiandae
Uko sahihi..simu ni kifaa cha mawasiliano tu , ila priorities za watu zinatofautiana kwenye mambo mbali mbali.Hii sim inipite mbali hata nikipewa bure nitaiuza tu. Yaani unatembea na kiwanja unaishi nyumba ya kupanga?
Shoga yangu ana macho matatu ila dah maisha yake mmmh au mm bahili?
Pesa yangu ambayo naweza kuitoa kujinunulia simu mwisho laki 5. Ikizidi hapo labda nipewe bure.