Simu mpya ghali kabisa zazinduliwa na Elon Musk!

Milioni mbili tu??? Hiyo simu ijiandae
Bora ufanye mambo mengine maana hizi tetesi ni za muda mrefu ... Sema mtoa mada naye mwongo mwongo anatuaminisha Tesla wataitoa mwezi August kitu ambacho hata kampuni haijatoa taarifa.

 
Uko sahihi..simu ni kifaa cha mawasiliano tu , ila priorities za watu zinatofautiana kwenye mambo mbali mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…