Simu nilizowahi kutumia for the past two years

Simu nilizowahi kutumia for the past two years

Simu zaidi ya hamsini(50) umetumia kwa miezi 24( 2yrs) inamana kila mwezi ulkuwa unanunua simu mpya hii kali kuliko,itakuwa muuza simu ww.
bila shaka mkuu
 
Umetisha kiongozi, ulikuwa kwenye research au nini ulikuwa unafanya? Tangu 2015 hadi leo nimetumia simu mbili tu.
not a research... I was a business...
 
kwa upande wangu nmeuza na kununua sana simu for the past two years.... zimeniingizia sana hela.... that is the reason
Kama unauza na kununua inawezekana. Nikajua kwa matumizi yako zinaharibika au kupotea ndo ununue. Maana simu zote hizo kwa two years ni nyingi sana. Mimi miaka miwili nimetumia simu nne tu
 
Kama unauza na kununua inawezekana. Nikajua kwa matumizi yako zinaharibika au kupotea ndo ununue. Maana simu zote hizo kwa two years ni nyingi sana. Mimi miaka miwili nimetumia simu nne tu
Mimi nimetumia Moja tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kweli maisha tunatofautiana.
 
MASAU-BWIRE-1.jpg
 
Wee utakua mnunuaji maarufu wa simu za wizi, yani mateja na boda wakiiba wanakuletea wewe.
 
Kama unauza na kununua inawezekana. Nikajua kwa matumizi yako zinaharibika au kupotea ndo ununue. Maana simu zote hizo kwa two years ni nyingi sana. Mimi miaka miwili nimetumia simu nne tu
Yeah ni hivo.... kuna simu zilikuwa hazimalizi hata masaa masaa 6 mkononi....
 
Mimi nimetumia Moja tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kweli maisha tunatofautiana.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
SAMSUNG
s4 moja
s5 zaidi ya 5
j5 zaidi ya 5
note moja
note 2 tatu
note 3 zaidi ya 5
grand prime plus moja
note 4 moja
note 5 tatu

HUAWEI
p7 mbili
p8 1
p8 lite zaidi ya 5
gr5
gr5 2017
p10 plus(Huyu mnyama ndo namtumia mpaka sasa)

SONY
z1 moja
z2 mbili
z3 tatu
z3+ moja
z5 mbili

IPHONE
4s moja
5 tatu
5s tatu

HTC
m7 nne
m8 moja
m9 moja

LG
g2 2(niliipenda sana design ya hii simu)
g3 mbili

BLACKBERRY
z10 moja


Simu nyingi zimesahaulika hapo... na pia kuba brand zingine ambazo siyo famous sijaziandika....

nnewahi kutumia s5 na note 3 ambazo zilikuwa zinashinda na charge siku nzima while zingine zikiwa zinakaa na charge kawaida, nadhani ni suala la utofauti wa model tu... Pia kwa hizi samsung za model za chini camera yake ipo kawaida except kuanzia s5 na note 4 ambazo zina mode kwenye camera ambayo inaitwa selective focus... only this mode ndo inatoa picha clear...

pia kwa upande wa sony, most of them zilikuwa zinakaa na charge japo zipo very delicate na zinapata sana moto...

kwa upande wa htc, ilikuwa ni simu poa... with the best camera mfano kama m9 ilikuwa na camera nzuri sana na ni moja ya simu ambayo nilikaa nayo sana...

Iphone ni simu nzuri(best quality) na pia design nzuri pia... ila kwa hizi models za chini walizingua kwenye swala la charge.... may be kuanzia 6+,7+ na kuendelea....

Lg g2 ilikuwa ba best design.... kashape kazuri... screen to body ratio kubwa... super amoled display... but ndo zilikuwa hazikai na charge.... thou nmewahi tumia lg g3 tmobile... ilikuwa simu ngumu sana na ilikuwa inakaa sana na charge tofauti na lg g3 zingine

Blackberry z10 nayo ilikuwa poa sana.... simu haina navigation keys... watu wengi sana nilikuwa nawatoa ushamba.... nadhani simu zoote ambazo hazina navigation keys starting from iphone X wamecopy kwa huyu jamaa

huawei nyingi zilizotoka before 2016 zipo hazikuwa poa sana kwenye battery japo walikuwa na front camera bomba sana.... ukipata huawei iliyokuwa released from 2016 na kuendelea hutojutia... ni simu moja bomba sana... good design... best camera... large storage na pia kajitahidi sana kwenye battery....

Currently nipo na huawei p10 plus and soon I will switch to huawei p20 pro... Am in love with huawei now......

hiyo ndo experience yangu kwenye smartphones.....
Huawei wapo gudaaa kuna mnyama p9 huyo mashineee
ram na process utadhan pc
 
Back
Top Bottom