Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
kiruNilivyo na wivu sasa halafu hizo amsha amsha za simu ya mwanaume zinaweza nitoa uweponi kabisa.
Tuko tofauti sana.
Napenda utulivu kwenye mahusiano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiruNilivyo na wivu sasa halafu hizo amsha amsha za simu ya mwanaume zinaweza nitoa uweponi kabisa.
Tuko tofauti sana.
Napenda utulivu kwenye mahusiano
meona eeAna SIMU mbili. Tafuta kibatani. Achana na Smart.
#sorry guys nimevujisha siri
Khakhakhaaaa.... Anaonekana Anapenda hekaheka huyooo!!Kumekucha
Ila fans wangu mnajua sana kunipa Raha na kucheka
Jana nimepata kero Kwa mrembo mmoja Kwa email yangu, anasema kuwa
"Simu ya mpenzi wake, haina AMSHA AMSHA
Haina ex anaemsumbua
Madeni wanaomsumbua
Wadada, mijimama inayomsumbua
Contact ya simu yake imejaa Marafiki zake WA KIUME, familia yake, Mimi, na dada yangu
Haelewi kwamba huyu mwanaume NI mzima kweli au kuna kitu anamficha??"
Haya Wana, mshaurini binti WA watu anataka msaada
mnooooooKhakhakhaaaa.... Anaonekana Anapenda hekaheka huyooo!!
Umeharibu sana nanii! sOON tutaanza kukamatwa na hawa viumbe wasioleweka wanataka nini..Ana SIMU mbili. Tafuta kibatani. Achana na Smart.
#sorry guys nimevujisha siri
Ukikamatwa nijuzeUmeharibu sana nanii! sOON tutaanza kukamatwa na hawa viumbe wasioleweka wanataka nini..
Siwezi kamatwa kizembe ntaongeza umakini kwakua siri ishafichuka..Ukikamatwa nijuze
SauwaSiwezi kamatwa kizembe ntaongeza umakini kwakua siri ishafichuka..
Inaonekana hata mwenyewe hujielewi nini?Kweli ni ngumu sana kumuelewa kiumbe mwanamke...
DuInaonekana hata mwenyewe hujielewi nini?
😂😂😂😂Yaan mi najitahidi kumficha kumbe yy ananiona mm Sina amsha amsha, sasa ngoja nisifute hz charts zangu na mdogo wake alivokua anasifia show yangu
Wanaume wekeni AMSHA AMSHA kwenye simu zenuanaweza mpiga chini mpenzi wake kwa sababu hyo tu, kiumbe mwenye uwezo wa kuongea na nyoka na wakaelewana ni hatari sana, halafu akishaenda huko akakutana na la kukutana nalo utasikia, all men are dog
sijawai- elewa huwa mnataka nn....mkiwekewa hzo hamsa hamsa...mnalalamika...zisipokuwepo........ mnalalamikaWanaume wekeni AMSHA AMSHA kwenye simu zenu
Mwanaume wa kwanza kujibu kiumeAna hoja, kama yupo naye miaka mingi halafu hajawahi ona amsha amsha.. Mwanaume hajaumbwa kuwa na mwanamke mmoja, tunajitahidi tu kuzuia amsha amsha zisiwe za mara kwa mara
kuna mwanaume mwezio amejibu haposijawai- elewa huwa mnataka nn....mkiwekewa hzo hamsa hamsa...mnalalamika...zisipokuwepo........ mnalalamika
hakuna alichojibu hapo...ishu ni kwamba nyi-e hamna msicholalama.....mkitendewa ubaya mnalalama....mkitendewa wema mnalalama.....sijui tuwaweke kundi gani sasakuna mwanaume mwezio amejibu hapo