Simu ya mpenzi wangu haina amsha amsha. Nifanyeje?

Khakhakhaaaa.... Anaonekana Anapenda hekaheka huyooo!!
 
Yaan mi najitahidi kumficha kumbe yy ananiona mm Sina amsha amsha, sasa ngoja nisifute hz charts zangu na mdogo wake alivokua anasifia show yangu
 
Yaan mi najitahidi kumficha kumbe yy ananiona mm Sina amsha amsha, sasa ngoja nisifute hz charts zangu na mdogo wake alivokua anasifia show yangu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
anaweza mpiga chini mpenzi wake kwa sababu hyo tu, kiumbe mwenye uwezo wa kuongea na nyoka na wakaelewana ni hatari sana, halafu akishaenda huko akakutana na la kukutana nalo utasikia, all men are dog
 
anaweza mpiga chini mpenzi wake kwa sababu hyo tu, kiumbe mwenye uwezo wa kuongea na nyoka na wakaelewana ni hatari sana, halafu akishaenda huko akakutana na la kukutana nalo utasikia, all men are dog
Wanaume wekeni AMSHA AMSHA kwenye simu zenu
 
Ana hoja, kama yupo naye miaka mingi halafu hajawahi ona amsha amsha.. Mwanaume hajaumbwa kuwa na mwanamke mmoja, tunajitahidi tu kuzuia amsha amsha zisiwe za mara kwa mara
 
Ana hoja, kama yupo naye miaka mingi halafu hajawahi ona amsha amsha.. Mwanaume hajaumbwa kuwa na mwanamke mmoja, tunajitahidi tu kuzuia amsha amsha zisiwe za mara kwa mara
Mwanaume wa kwanza kujibu kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…