Simu yangu inaingiza Apps bila ridhaa yangu (bila kudownload), shida ni nini?

Simu yangu inaingiza Apps bila ridhaa yangu (bila kudownload), shida ni nini?

Elon J

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2022
Posts
635
Reaction score
1,907
Aisee, simu yangu inaingiza ma apps ya aina mbalimbali kama vile ma games n.k bila ridhaa yangu (bila kudownload). Mfano Kuna Aapp inaitwa Ayoba kila nikiifuta nikiweka MB tu inarudi tena. Kuna muda nikiweka MB zinaisha faster kwasababu ya kujidownload kwa hizi apps.

Wazee wa IT shida ni nini hapa?
 
Kuna app zinazokuja na simu Mzee baba hasa hizi cm zinazotengenezwa magetoni hapo uchina,tuvumilie tu.
Ukiachana na hizo apps zinazikuja na simu,,Sasa Kuna apps zinaingia kila nikiweka MB mfano ma games ya ajabu ajabu yaan mpka kero na zinasomba MB hatari😥
 
Save contacts kwenye gmail or yahoo ili usizipoteze ...then format simu.
 
Auto download ....kagua Mipangilio yako....auto iwe kwa waifae
 
Duh.. nenda kazi block auto apps updates zote...
 
Je umegundua hizo app zinajidownload kutoka kwenye app gani play store,paml store
 
Aise simu yangu inaingiza ma apps ya aina mbalimbali kama vile ma games n.k bila ridhaa yangu(bila kudownload) mfano Kuna apps inaitwa Ayoba kila nikiifuta nikiweka MB tu inaludi tena.
Kuna mda nikiweka MB zinaisha faster kwasababu ya kujidownload Kwa hizi apps

Wazee wa IT shida ni nn hapa!
Unatumia simu aina gani mkuu
 
Okay👍
Okay👍
Watu uwa wanalalamika data zinaenda tu wakati hajutumia kiasi kinachoondoka,kuna app zinaji update kila muda bila wewe kujua,save vitu vya msingi kwenye gmail yake then format
 
Watu uwa wanalalamika data zinaenda tu wakati hajutumia kiasi kinachoondoka,kuna app zinaji update kila muda bila wewe kujua,save vitu vya msingi kwenye gmail yake then format
Poapoa
 
Back
Top Bottom