Simu yangu inaingiza Apps bila ridhaa yangu (bila kudownload), shida ni nini?

Elon J

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2022
Posts
635
Reaction score
1,907
Aisee, simu yangu inaingiza ma apps ya aina mbalimbali kama vile ma games n.k bila ridhaa yangu (bila kudownload). Mfano Kuna Aapp inaitwa Ayoba kila nikiifuta nikiweka MB tu inarudi tena. Kuna muda nikiweka MB zinaisha faster kwasababu ya kujidownload kwa hizi apps.

Wazee wa IT shida ni nini hapa?
 
Kuna app zinazokuja na simu Mzee baba hasa hizi cm zinazotengenezwa magetoni hapo uchina,tuvumilie tu.
Ukiachana na hizo apps zinazikuja na simu,,Sasa Kuna apps zinaingia kila nikiweka MB mfano ma games ya ajabu ajabu yaan mpka kero na zinasomba MB hatari😥
 
Save contacts kwenye gmail or yahoo ili usizipoteze ...then format simu.
 
Auto download ....kagua Mipangilio yako....auto iwe kwa waifae
 
Duh.. nenda kazi block auto apps updates zote...
 
Je umegundua hizo app zinajidownload kutoka kwenye app gani play store,paml store
 
Unatumia simu aina gani mkuu
 
Okay👍
Okay👍
Watu uwa wanalalamika data zinaenda tu wakati hajutumia kiasi kinachoondoka,kuna app zinaji update kila muda bila wewe kujua,save vitu vya msingi kwenye gmail yake then format
 
Hapo ndo cjajua mkuu,unaangaliaje
Simu za wajasiriamali mkuu( Infinix)
Mkuu Basi nishajua Kuna app inaitwa palm store ata kipindi pale baada ya kudownload huwa inaandika palm store installed open kwa hiyo wewe husika na hiyo app
 
Watu uwa wanalalamika data zinaenda tu wakati hajutumia kiasi kinachoondoka,kuna app zinaji update kila muda bila wewe kujua,save vitu vya msingi kwenye gmail yake then format
Poapoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…