Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, hiki kitu ni nini na kinatokana na nini?

Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, hiki kitu ni nini na kinatokana na nini?

G'taxi

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
6,625
Reaction score
8,639
Wapendwa habari zenu
Napenda ku-share nanyi hiki kitu kinatokea kwenye simu yangu anytime.

Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, simu inaweza kua muted nikiendelea na mambo mengine, ghafla naona mwanga na inatokea hiyo inaandika sending sms kisha inatoweka, na hakuna labda sms ambayo nilikua nikituma kwamba labda inasubiri network imekata na sasa imerejea ndo sms inakwenda hapana,sikua kwenye kutuma sms kwa mtu wala nini

Sasa najiuliza hiki kitu ni nini na kinatokana na nini? labda wajuzi wengine mnisaidie
 
Wapendwa habari zenu
Napenda ku-share nanyi hiki kitu kinatokea kwenye simu yangu anytime.

Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, simu inaweza kua muted nikiendelea na mambo mengine, ghafla naona mwanga na inatokea hiyo inaandika sending sms kisha inatoweka, na hakuna labda sms ambayo nilikua nikituma kwamba labda inasubiri network imekata na sasa imerejea ndo sms inakwenda hapana,sikua kwenye kutuma sms kwa mtu wala nini

Sasa najiuliza hiki kitu ni nini na kinatokana na nini? labda wajuzi wengine mnisaidie
Hata mimi hiyo hali iko kwangu natumia Samsung
 
Kwangu nimejaribu imekuja hivi
[emoji116]
Sync : +255627........

Hapa ina maana gani mkuu?
Mimi imeniandikia hivi
Screenshot_20240614-111640_Phone.jpg
 
Duh, inamaana huyo mtu aliwahi kushika simu yangu?
Sio lazima ...
Huyo mtu anasoftware za kudukua ..
Ameona aina ya simu yako, number yako kisha anakuwa anafuatilia SMS, calls zako na kusikiliza unachoongea..

Yaani kifupi anakufuatilia nyendo zako
 
Sio lazima ...
Huyo mtu anasoftware za kudukua ..
Ameona aina ya simu yako, number yako kisha anakuwa anafuatilia SMS, calls zako na kusikiliza unachoongea..

Yaani kifupi anakufuatilia nyendo zako
Mkuu, ni njia gani naweza tumia kujitoa kwenye huu mtego?
 
Back
Top Bottom