Ngarob
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 661
- 2,204
##002#Mkuu, ni njia gani naweza tumia kujitoa kwenye huu mtego?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
##002#Mkuu, ni njia gani naweza tumia kujitoa kwenye huu mtego?
Mkuu usije ukafanya jinai ...Kama ni hivyo, basi nimesha mjua huyu kenge. Nitamalizana nae leo jioni.
Nashukuru sana mkuu, nimepiga hiyo na sasa haionyeshi tena Sync:##002#
Mkuu siwezi fikia huko, ila atanielezaMkuu usije ukafanya jinai ...
Na kama haijaleta namba yoyote je?kama kwangu haileti namba yoyote lakini kila mala inaandika sending smsSio lazima ...
Huyo mtu anasoftware za kudukua ..
Ameona aina ya simu yako, number yako kisha anakuwa anafuatilia SMS, calls zako na kusikiliza unachoongea..
Yaani kifupi anakufuatilia nyendo zako
Nunua mpyaWapendwa habari zenu
Napenda ku-share nanyi hiki kitu kinatokea kwenye simu yangu anytime.
Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, simu inaweza kua muted nikiendelea na mambo mengine, ghafla naona mwanga na inatokea hiyo inaandika sending sms kisha inatoweka, na hakuna labda sms ambayo nilikua nikituma kwamba labda inasubiri network imekata na sasa imerejea ndo sms inakwenda hapana,sikua kwenye kutuma sms kwa mtu wala nini
Sasa najiuliza hiki kitu ni nini na kinatokana na nini? labda wajuzi wengine mnisaidie
Basi poleee.Simu yangu hashikagi mtu mkuu
Angalia setting za simu upande wa smsNa kama haijaleta namba yoyote je?kama kwangu haileti namba yoyote lakini kila mala inaandika sending sms
Vitu vingine inatakiwa utumie akili kiasi.Na kama haijaleta namba yoyote je?kama kwangu haileti namba yoyote lakini kila mala inaandika sending sms
Aisee!Wakuu na je kama kuna mtu nataka sms zake na calls nizijue nifanyajee
Sijui unahisi niliyeandika hapa ni fala!!! Hatujagi jf kutafuta utatuzi bila kujarobu,kiufupi naijua simu kuliko udhaniavyo,ila kwa sababu ujuzi unatofautiana ndiyo maana nimekuja hapa,sasa ukiniambia nitumie akiki kweni hapa kaandika kichaa?Vitu vingine inatakiwa utumie akili kiasi.
Angalia salio lako la SMS kwa sasa una balance ya SMS ngapi? kisha fanya monitoring uone je SMS zinapungua? Ukiona zinapungua ile balance basi ujue kuna kitu.
Ukiona bado ipi vile vile fanya kuzima na kuwasha simu yako, tatz likiendelea potezea.
Aisee!
Acha kufuatilia mambo ya kijingaWakuu na je kama kuna mtu nataka sms zake na calls nizijue nifanyajee
😂😂😂😂Mkuu siwezi fikia huko, ila atanieleza
Famio appWakuu na je kama kuna mtu nataka sms zake na calls nizijue nifanyajee