Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, hiki kitu ni nini na kinatokana na nini?

Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, hiki kitu ni nini na kinatokana na nini?

Niliwahi kuwa na simu ilikuwa inajipiga yenyewe na namba kwenye screen zilikuwa hazionekan.
Nilikuja igundua nilipokuwa naweka earphone .
Ilikuwa simu ya batan. Hakika ilikuwa ni jambo la ajabu sana maana namba ilizokuwa inazipigia zlikuwa znapokelewa na salio linaisha .
Kwa upande wa mitandao ya simu hawakuweza pata taarifa.
Ila ilikuja acha hizo tabia za iishetani yenyewe tu
 
Sio lazima ...
Huyo mtu anasoftware za kudukua ..
Ameona aina ya simu yako, number yako kisha anakuwa anafuatilia SMS, calls zako na kusikiliza unachoongea..

Yaani kifupi anakufuatilia nyendo zako
Na kama haijaleta namba yoyote je?kama kwangu haileti namba yoyote lakini kila mala inaandika sending sms
 
Wapendwa habari zenu
Napenda ku-share nanyi hiki kitu kinatokea kwenye simu yangu anytime.

Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, simu inaweza kua muted nikiendelea na mambo mengine, ghafla naona mwanga na inatokea hiyo inaandika sending sms kisha inatoweka, na hakuna labda sms ambayo nilikua nikituma kwamba labda inasubiri network imekata na sasa imerejea ndo sms inakwenda hapana,sikua kwenye kutuma sms kwa mtu wala nini

Sasa najiuliza hiki kitu ni nini na kinatokana na nini? labda wajuzi wengine mnisaidie
Nunua mpya
 
Na kama haijaleta namba yoyote je?kama kwangu haileti namba yoyote lakini kila mala inaandika sending sms
Vitu vingine inatakiwa utumie akili kiasi.

Angalia salio lako la SMS kwa sasa una balance ya SMS ngapi? kisha fanya monitoring uone je SMS zinapungua? Ukiona zinapungua ile balance basi ujue kuna kitu.

Ukiona bado ipi vile vile fanya kuzima na kuwasha simu yako, tatz likiendelea potezea.
 
Vitu vingine inatakiwa utumie akili kiasi.

Angalia salio lako la SMS kwa sasa una balance ya SMS ngapi? kisha fanya monitoring uone je SMS zinapungua? Ukiona zinapungua ile balance basi ujue kuna kitu.

Ukiona bado ipi vile vile fanya kuzima na kuwasha simu yako, tatz likiendelea potezea.
Sijui unahisi niliyeandika hapa ni fala!!! Hatujagi jf kutafuta utatuzi bila kujarobu,kiufupi naijua simu kuliko udhaniavyo,ila kwa sababu ujuzi unatofautiana ndiyo maana nimekuja hapa,sasa ukiniambia nitumie akiki kweni hapa kaandika kichaa?
 
Kwa case Yako inawezekana kuna MMS inajituma, oitia msg zako ukiikuta cancel na huta Ina tena huo ujumbe.
 
Back
Top Bottom