Simu yangu kila wakati inaleta neno juu ya screen " SENDING SMS" kisha inatoweka, hiki kitu ni nini na kinatokana na nini?

Sijui unahisi niliyeandika hapa ni fala!!! Hatujagi jf kutafuta utatuzi bila kujarobu,kiufupi naijua simu kuliko udhaniavyo,ila kwa sababu ujuzi unatofautiana ndiyo maana nimekuja hapa,sasa ukiniambia nitumie akiki kweni hapa kaandika kichaa?
Imebidi nicheke tu πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£
 
Vp mkuu umefanikiwa kuutoa huu ujumbe. Maana naona namm hii shida ipo . Inatuma hiyo notification ya "Sending sms" ukijaribu kutap kwenye huo ujumbe kama mara mbili inaandika SIM Toolkit isn't optimized......
Simu ni Samsung
 
Kwani wenzangu ninyi SIM-Toolkit ya voda kwenu ipoje maana naona yangu ni ya tofauti na ukiifungua ndani haifanyi kazi. Nadhani hii ndio inapelekea kuleta hii notification
 
Unadukuliwa mkuu
Piga *#21# kuzuia hiyo
 
Simu za laki mkuu usitegemee maajabu, mm yangu huwa inaamua tu inafanya jambo hadi unashangaa na ni simu nlinunua laki4, yaan acha tu, simu nazo zinategemeana na brand
 
Yangu nikichaji inaleta ujumbe
Charging stopped. Temperature too low.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…