Simu za Google pixel 4a zimepata ugonjwa wa kufa battery 🔋

Simu za Google pixel 4a zimepata ugonjwa wa kufa battery 🔋

Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a
Kuuza ni ngumu
Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha
Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia betri mwezi inakufa tena

Ukifanya update tu, google pixel 4a inakuwa imekufa kabisa betri

Google pixel 4a ni simu naikubali ila Kwa Sasa nahamia Samsung
Sio 4a tu hata 3a
 
Back
Top Bottom