Simu za Huawei zinauzika balaa ulaya Samsung akina Samsung hoi

Samsung toleo jipya galaxy fold imeahirishwa baada ya screen kuvunjika wakati wa kuijaribia tu
Ndio kwanza imetoka na kufa
Daa kutangulia sio kufika kweli
Na Huawei wanachekea chooni
Hutowasikia Samsung fanboys wakichangia kuhusu hili. Wanafiki kweli
 
WABISHI WENGI NI WATUMIAJI WA "IPHONE"
WANAJIONAGA WAPO LEVEL ZINGINE KABISA DUNIANI🙄🙄🙄🙄🙄
 
Mojawapo ya kampuni ya simu ambayo ni ovyovyo kabisaa kwangu ni Samsung.. Hawa kila kifaa chao lazima kiwe na tatizo.. Sio simu tuu kuanzia air conditions, Washing machine, laptops.. Hawaaminiki kabisa wanalipua saaana wakidhani watamfikia IPhone.. Feki ndio zimejaaa kibao. Sioni tofauti ya Samsung na Tekno.. Bora hata tekno anajulikana upande aliko.
 
Unatumia Huawei y300 kwanini usiidharau!..
Tumia Huawei P series uone dunia ilivyo tamu.
Huawei akiingia kwy mtego wa kutengeneza simu za Aina nyingi itakula kwake kama Samsung. iPhone atabaki kuwa juuuuu kabisa
 
Una experience na camon x pro???

Mbona iphone ndiyo ina fake specs camera ya 8mp imezidiwa na huawei lua U22 yenye megapixel 5
 
Haters watakataa
 
Una experience na camon x pro???

Mbona iphone ndiyo ina fake specs camera ya 8mp imezidiwa na huawei lua U22 yenye megapixel 5
Theresa May ametoa go ahead leo kwa Huawei wajenge 5g UK
USA walisema ooh kwa usalama sio nzuri utafikiri inawahusu au kwa sababu ya dili?
 
Huawei akiingia kwy mtego wa kutengeneza simu za Aina nyingi itakula kwake kama Samsung. iPhone atabaki kuwa juuuuu kabisa
Huawei mbona ana aina nyingi naye sema Flagship yake ni hiyo P series na Mate!.. Lakini anajitahidi kutoa zenye ubora sio Samsung na Duos zake za 8GB HDD wakati huo camera mbovu!..
 
Theresa May ametoa go ahead leo kwa Huawei wajenge 5g UK
USA walisema ooh kwa usalama sio nzuri utafikiri inawahusu au kwa sababu ya dili?
Usa wanafigisu na huawei na ndio maana imepigwa ban isiuzwe kule, just imagine huawei imepewa dhamana ya kuuza usa we unafikiri hata spelling za iphone zingetushinda kuandika
 
iPhone katolewa nock out tu na Huawei P20 pro Sasa cjui hizo mpya itakuaje, Hadi USA kaanza figisu.

Angalieni tu ata YouTube performance test ya Huawei P20 pro, iPhone x , na Samsung then mrudi hapa
Watanzania huwa tunafata upepo sana.
 
iPhone katolewa nock out tu na Huawei P20 pro Sasa cjui hizo mpya itakuaje, Hadi USA kaanza figisu.

Angalieni tu ata YouTube performance test ya Huawei P20 pro, iPhone x , na Samsung then mrudi hapa
Watanzania huwa tunafata upepo sana.
Mkuu hapo juu ilikua battle kati ya iphone x na tecno camon x pro mwisho wa battle tecno kaibuka kidedea

Naona unamdharirisha sana huawei p20 pro kumfananisha na iphonex
 
P20 pro noma mkuu unaweza kwenda nayo futi kadhaa chini ya maji na zaidi ya nusu saa (waterproof)

Hizo zingine nani wakukaribia?
Acha trio camera mgpx 40 *3 daaah
Mkuu hapo juu ilikua battle kati ya iphone x na tecno camon x pro mwisho wa battle tecno kaibuka kidedea

Naona unamdharirisha sana huawei p20 pro kumfananisha na iphonex
 
Fansy tu,wabongo ni Taifa tunaopenda show tu bila kwenda deep kuangalia (research)hata magari iko hivo ukicheki barabarani Kama sare ya Taifa watu wanafata mkumbo tu
Watu wamepumbazwa na kile ki logo cha apple kilicho ng'atwa pembeni
 
Fansy tu,wabongo ni Taifa tunaopenda show tu bila kwenda deep kuangalia (research)hata magari iko hivo ukicheki barabarani Kama sare ya Taifa watu wanafata mkumbo tu
Mkuu tatizo ni kuwa hatutengenezi kitu kwa hiyo ni mkumbo tu na kutokuelewa mambo
Yaani mtu kafungua kaduka ka simu halafu anaisifia simu aina moja mpaka anajikuta wateja wanamwambia kama huna hiyo basi
Sasa hapo kajiharibia biashara na hizo zingine ambazo hakuzisifia zinamdororea dukani
Waswahili tuna mambo
Yaani promo halafu mengine yamemlalia [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hayo ni maoni yako na mtazamo wako. Tukienda hivi porojo za vijiwe vya kahawa zitajaa humu
Hata uhalisia wa soko upo hivo... Kwa mwaka jana tu.. .Huawei ameongeza market share kwa 40% Samsung aliporomoka kwa 11% iphone aliporomoka kwa asilimia kadhaa.

Tukashuhudia huawei anakuwa wa pili nyuma ya samsung kwenye market shares akimpindua iphone.

Tukashuhudia mwaka huohuo huawei akiuza units nyingi kuliko company yoyote ya simu unayoijua ww duniani akiwapita hata hao samsung na iphone.

Sasa kwanini anachosema mtoa maada useme ni porojo.

Hizi data nilizokupa mimi zipo mitandaoni kama unataka reference unaweza kugoogle...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…