Hapana sector zote huawei wamefit ila kwenye sector ya camera wako vizuri zaidii, kwa mfano p20 ina tripple camera zenye uwezo mkubwa, pia ina 6GB ya RAm ambapo iphone x ina 3 GBSo kwkoo simu ni camera bora tu eh?watu wa selfie kazi mnayo
Mimi ukiniwekea huawei p20 na iphone x naichukua huaweiYaani ukiniwekea Huawei na Samsung nichagua kwa kweli Huawei ni simu bora kwangu ina camera nzuri mno.
Wabeba maboksi, wafagiaji na wasafisha vyoo na wasukumaji wa viti vya wazee na watu wa kutawaza viajuza vilivyotelekezwa na watoto wao ndio hununua hizi simu unazosema.Mzuqa!
Miaka miwili mitatu iliyopita ilikuwa vigumu Denmark, Norway, Finland, na Sweden kuona watu wanatumia simu za China za Huawei. Samsung ilitawala soko vibaya sana.
Ghafla bin Vuu yani sasa hivi karibu kila mtu Ana Huawei. Ukiwa kwenye vyombo vya usafiri mkusanyiko husikii tena milio ya simu na meseji za Samsung zikilia kama zamani. Sasa hivi ni Huawei kila kona kila rika. Kwenye basi treni hadhira simu ikiita ni milio ya Huawei
Huawei inakuja kasi sana tena ya ajabu yani wanauza na sijui wanawalipa wauza simu kwasababu ukitaka KUNUNUA wanakushauri ununue Huawei.
Samsung is slowly fading. IPhone inajifanyaga shauri zake.
Sasa cha kushangaza sisi wamatumbi eti tunadharau hizi simu za China.
China aiseee sometimes hatareee hii marketing strategy waliitumia kwa Huawei wamefanikiwa sana. Labda ndio maana wamemshikilia yule mama wa Huawei kanada
India hawaijui huawei wakati katika nchi zilizonunua simu kutoka kampuni ya huawei india ni moja wapo??acha kuchekesha watu umetoka kwenye dalala ukaona kila mtu anatumia huawei na huawei yako.kuna nchi hata hiyo huawei hawaijui inafananje kama india,usa,canada kwa kuwa mchina kakumata kuanzia dada yako yeshu,mpaka ulivyo navyo nyumbani
Binafsi natumia Huawei P8.
Jamaa wapo vizuri sana Samsung wanasubiri.
Mzuqa!
Miaka miwili mitatu iliyopita ilikuwa vigumu Denmark, Norway, Finland, na Sweden kuona watu wanatumia simu za China za Huawei. Samsung ilitawala soko vibaya sana.
Ghafla bin Vuu yani sasa hivi karibu kila mtu Ana Huawei. Ukiwa kwenye vyombo vya usafiri mkusanyiko husikii tena milio ya simu na meseji za Samsung zikilia kama zamani. Sasa hivi ni Huawei kila kona kila rika. Kwenye basi treni hadhira simu ikiita ni milio ya Huawei
Huawei inakuja kasi sana tena ya ajabu yani wanauza na sijui wanawalipa wauza simu kwasababu ukitaka KUNUNUA wanakushauri ununue Huawei.
Samsung is slowly fading. IPhone inajifanyaga shauri zake.
Sasa cha kushangaza sisi wamatumbi eti tunadharau hizi simu za China.
China aiseee sometimes hatareee hii marketing strategy waliitumia kwa Huawei wamefanikiwa sana. Labda ndio maana wamemshikilia yule mama wa Huawei kanada
Sasa mkuu tecno camon11 pro utaifananisha na iphone 7s??JF Raha sana, leo iPhone haifui dafu kwa Tecno?! Haya wale wenzangu wa Tecno tumepata pa kujidai
Watu wa tecno mnavojifariji si haba! Iphone 4 tu apo ina uwezo wa kufungua app faster kuliko hio junk phone uloweka apo.PRICE IN INDIA₹ 71,990
PERFORMANCE Octa core
DISPLAY6.47" (16.43 cm)
STORAGE256 GB
CAMERA40MP + 20MP + 8MP
BATTERY4200 mAh
RAM8 GB
LAUNCH DATE IN INDIAApril 15, 2019 (Official)
Niambie iphone gani anagusa moto huuView attachment 1075557
Upo kwenye karne ya information lkn bado tu mwaka jana kampuni iliyoongoza kuuza simu duniani ni HUAWEI ikifuatiwa na Samsung kama hujui hadi Marekani wakaanza kuiletea figisu za kibiasharaHuawei ni simu sasa.???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15]
Hata Tecno zinaongoza kuuzwa Tz lakini haina maana ndio simu nzuri.Upo kwenye karne ya information lkn bado tu mwaka jana kampuni iliyoongoza kuuza simu duniani ni HUAWEI ikifuatiwa na Samsung kama hujui hadi Marekani wakaanza kuiletea figisu za kibiashara
Sasa kuna watu bei kubwa ndiyo inafanya wanunue simu ili kuwa tofauti na kadamnasi! Watu wanataka kuwa exclusive.Mkuu huawei ni simu kali sana
Angalia simu kama huawei Nova 3i au 4i
Angalia huawei Pro 30
Samsung ana kazi sana sana kupambana na huawei
South Africa Huawei ndio kwenyewe
Samsung na iPhone bei za ni overpriced kuliko uhalisia
Bei za Samsung wameziongeza bila sababu za msingi
Mkuu pia kuna simu za Xiaomi redmni zimeanza kufika Dar
Wengine siyo kubisha ila wanaangalia u-exclusive. Kwa mfano mimi simu ikishakuwa na bei ya kufanya hata watu wa kati wamudu kuinunua siitamani. Mimi naenda kwenye ubora na u-exclusive. Ndiyo maana Iphone zimekuwa chaguo langu.Huawei P30 pro ndio simu bora ya 2019 kuanzia camera hadi design yake ila watu wasiojua kitu watabisha
Hapana mkuu mimi hapa nilipo natumia huawei p20 liteWachina wanajidai kila mtu duniani anajua lugha yao...kuna siku nilisoma uzi mmoja hapa unazisifia Xiomi na mimi nikaona niagize ya kwangu yani mwanzo ulikuwa mgumu sana kila mahali ni kichina tupu hadi nikataka kuitelekeza nikahisi nimeingizwa mkenge. Hata hizi Huawei Japo sijawahi kutumia ila bila shaka nazo zitakuwa na ujinga kama wa Xiomi wa kujaza kichina kwenye simu.
Hata mimi mkuu sijawahi kutumia samsung na sitarajii mbele ya huawei yangu.Hapa nina Huawei yangu raha tupu, Samsung nimeifungia kabatini na virus zake.
ACHA KUFANANISHA iPHONE NA TAKATAKA ZA AJABU WEWEYaani iphone ukiachana na uimara wa ulinzi wa simu hata kwa tecno haifiki
kichwa yake ndio sourceWeka source ya taarifa yako mkuu.
Vinginevyo unajaribu kuipa promo huawei yako uliyonunua juzi