Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

Pole sana. Ila ki ufupi hiyo miradi ya kukopesha simu ni kama utapeli tu unaojaribu kutafutiwa namna uwe halali. Yani ukipiga hesabu unakuta mkopo wote ni sawa na mara mbili ya pesa inayotakiwa kununua simu mbili mpya kama uliyokopa
Nini maana ya mkopo?
 
Lipa pesa ya watu kijana acha ujanja ujanja mjini kwani ukilipa unapungukiwa nini
Mkuu naomba nikuulize mimi nimepewa simu nikaambiwa gharama ya kulipa mwanzo ni sh 177000 halaf baadae nitaanza kulipa sh 93000 kila mwezi kwa muda wa miezi sita.Nikalipa hyo 177.. kesho yake nataka kulipa ile 93000 ya mwezi wa kwanza nakuta deni ni 1131500 kwa miezi 12!!!!Wtf is this..nawapigia wananiambia ni opt miezi sita nikawaambia wakat mnaniuzia mliniambia ni miezi sita..nachek miezi sita na penyewe nakuta 751000 tofauti na nilivyokuwa nimeambiwa 550000!!!!Sasa wew huoni hyo ni utapeli!Nimewaambia nitalipa baada ya hyo miezi 12 hyo hela waliyonidanganya niliyotaka kuwalipa ndani ya miezi sita 550000 naifanyia biashara,simple
 
Inategemeana na mtu na mtu na mahali uishipo, nasikia wanaume wa Dar ndiyo wana wakati mgumu kwani kuna wengine mpaka wanafilwa tena hadharani kabisa na wengine wanafanya makusudi kutorudisha ili wabakwe.
Hii noma
Ulipoichukua uliwauliza waliokupa hayo maswali?
Sasa ndugu ningewauliza unafikiri wangenikopesha😀
 
Habari zenu wana jamiiforums, nilinunua simu ya mkopo kama mwezi mmoja umepita kwa sababu sikuwa na pesa za kutosha kuniwezesha kununua simu mpya. Ila sasa nimejipata, nataka niache kuilipia hiyo simu maana deni ni kubwa. Hivi nikiacha kuilipia kuna shida yoyote nitapata, ukiachana na simu kufungiwa?
Watakukamata kupitia NIDA yako
 
Hiyo pesa ya mkopo ni ndefu balaa. Wakinifuatilia nawaambia imeibiwa.
Mikopo ni utapeli.
Mtu kakopeshwa tv ya nchi 43 ambapo anatakiwa alipe milion 1 na laki 3 kwa mwaka. Tv yenyewe ni fox😀😀😀. Siingilii maisha ya mtu ila hawa wa mikopo ni matapeli.
Kama kuna namna kopa simu ya mkopo, unlock utumie free. Hapo wizi ni wizi
 
Lipa deni usikimbie kulipa deni dawa ya deni kulipa
Usijifanye mwema sana. Hao wenyewe ni matapeli, kuwatapeli naona ni sawa.
Simu kwa cash unauziwa laki 250 ila hao matapeli kwa mkopo ni laki 5 na elfu 50.
Ikitokea ni kuwapiga, inatakiwa wapigwe ili wajue dawa ya tapeli ni mkutapeli.
Hapa nilipo nachunguza simu nzuri ya mkopo nikawatapeli
 
Usijifanye mwema sana. Hao wenyewe ni matapeli, kuwatapeli naona ni sawa.
Simu kwa cash unauziwa laki 250 ila hao matapeli kwa mkopo ni laki 5 na elfu 50.
Ikitokea ni kuwapiga, inatakiwa wapigwe ili wajue dawa ya tapeli ni mkutapeli.
Hapa nilipo nachunguza simu nzuri ya mkopo nikawatapeli
Huwezi kuwatapeli mkuu emu fanya shughuli zingine tu
 
Mkuu naomba nikuulize mimi nimepewa simu nikaambiwa gharama ya kulipa mwanzo ni sh 177000 halaf baadae nitaanza kulipa sh 93000 kila mwezi kwa muda wa miezi sita.Nikalipa hyo 177.. kesho yake nataka kulipa ile 93000 ya mwezi wa kwanza nakuta deni ni 1131500 kwa miezi 12!!!!Wtf is this..nawapigia wananiambia ni opt miezi sita nikawaambia wakat mnaniuzia mliniambia ni miezi sita..nachek miezi sita na penyewe nakuta 751000 tofauti na nilivyokuwa nimeambiwa 550000!!!!Sasa wew huoni hyo ni utapeli!Nimewaambia nitalipa baada ya hyo miezi 12 hyo hela waliyonidanganya niliyotaka kuwalipa ndani ya miezi sita 550000 naifanyia biashara,simple
Hawa wauza simu za mkopo ni matapeli. Dawa ya tapeli ni kuwatapeli. Mm mwenyewe naangalia ambayo naweza kuchakachua nikatumia bure
Kuna baadhi ya simu, unaunlock na unatumia free kbsa
 
Back
Top Bottom