Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

Acha kusoma umbeya mitandaoni. Simu na router zinazotumia mtandao mmoja zinakuwa unlock na watu wanatumia mitandayo yote sembuse hizo simu za kitapeli?😀😀😀😀
Hapa nachunguza ipi itakayonifaa ni Xiaomi, Samsung au Infinix. Niifanyie manuvaa😀😀😀😀
Sawa tapeli nenda kawatapeli nakusubiria pale Ukonga Keko Segerea
 
Mavi kunukq screenshot tuone
Hii nini
Screenshot_20250204-180046.jpg
 
Inategemeana na mtu na mtu na mahali uishipo, nasikia wanaume wa Dar ndiyo wana wakati mgumu kwani kuna wengine mpaka wanafilwa tena hadharani kabisa na wengine wanafanya makusudi kutorudisha ili wabakwe.
Mkuu unamaanisha hapa? Wanafirwa na nani ili kulipa? Na hao wasiorudisha wanabakwa na nani?
 
Back
Top Bottom