Ndio maana kwako unaona gari ni mafanikio.Wewe hujawahi kuzipitia shida
Acha kusoma umbeya mitandaoni. Simu na router zinazotumia mtandao mmoja zinakuwa unlock na watu wanatumia mitandayo yote sembuse hizo simu za kitapeli?ππππTumia bure basi
Yeah mzee sio Gari ita Ndinga Mkoko pisha njiaNdio maana kwako unaona gari ni mafanikio.
Sawa tapeli nenda kawatapeli nakusubiria pale Ukonga Keko SegereaAcha kusoma umbeya mitandaoni. Simu na router zinazotumia mtandao mmoja zinakuwa unlock na watu wanatumia mitandayo yote sembuse hizo simu za kitapeli?ππππ
Hapa nachunguza ipi itakayonifaa ni Xiaomi, Samsung au Infinix. Niifanyie manuvaaππππ
Mavi kunukq screenshot tuoneMimi huwa nazitoa Loki zao na silipii Tena
Hauna akiliMavi kunukq screenshot tuone
Kesi zingekuwa nyingi sana na watu wangekuwa wamefungwaππππππSawa tapeli nenda kawatapeli nakusubiria pale Ukonga Keko Segerea
Hii niniMavi kunukq screenshot tuone
Kumbe unajiambia kwamba hauna akiliHauna akili
Mshaanza kufungwa hapo kwenyewe sifuri nenda katapeli unasubiria niniKesi zingekuwa nyingi sana na watu wangekuwa wamefungwaππππππ
Huyo anaishi kwa kuwatapeli watu na simu za mkopo. Kwahiyo usishangaeHauna akili
Usinisingizie uongo mkuu heshima ichukue nafasi yakeHuyo anaishi kwa kuwatapeli watu na simu za mkopo. Kwahiyo usishangae
Hapa nilipo nina Dlight M200, nililipa ile hela ya awali tu. Mpaka sasa nipo nayo. Huu ni mwaka 3, nishaiweka na kabatiniππππMshaanza kufungwa hapo kwenyewe sifuri nenda katapeli unasubiria nini
Sema hauna hela ungekuwa nazo ungenipa hiyo simu yako nitoe hiyo loki mwanetu πKumbe unajiambia kwamba hauna akili
Anataka watu waendelee kulipia mara nyingi πππHuyo anaishi kwa kuwatapeli watu na simu za mkopo. Kwahiyo usishangae
Unaishi kwa kuwatapeli watu na simu za mkopo na TV.Usinisingizie uongo mkuu heshima ichukue nafasi yake
Jamaa ngoja nikuweka kwenye IGNOREUnaishi kwa kuwatapeli watu na simu za mkopo na TV.
Sasa hivi mna tv za mkopo Fox tv nchi 43 ambapo kwa mkopo ni milioni moja na laki 3 kwa mwakaπππ
Quality ya picha sasa ni sawa na Alitopππππ.
Kheeeh hii mbna mpyaa, LolInategemeana na mtu na mtu na mahali uishipo, nasikia wanaume wa Dar ndiyo wana wakati mgumu kwani kuna wengine mpaka wanafilwa tena hadharani kabisa na wengine wanafanya makusudi kutorudisha ili wabakwe.
Mkuu unamaanisha hapa? Wanafirwa na nani ili kulipa? Na hao wasiorudisha wanabakwa na nani?Inategemeana na mtu na mtu na mahali uishipo, nasikia wanaume wa Dar ndiyo wana wakati mgumu kwani kuna wengine mpaka wanafilwa tena hadharani kabisa na wengine wanafanya makusudi kutorudisha ili wabakwe.