Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

Tumia bure basi
Acha kusoma umbeya mitandaoni. Simu na router zinazotumia mtandao mmoja zinakuwa unlock na watu wanatumia mitandayo yote sembuse hizo simu za kitapeli?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hapa nachunguza ipi itakayonifaa ni Xiaomi, Samsung au Infinix. Niifanyie manuvaaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sawa tapeli nenda kawatapeli nakusubiria pale Ukonga Keko Segerea
 
Unaishi kwa kuwatapeli watu na simu za mkopo na TV.
Sasa hivi mna tv za mkopo Fox tv nchi 43 ambapo kwa mkopo ni milioni moja na laki 3 kwa mwakaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Quality ya picha sasa ni sawa na AlitopπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
Jamaa ngoja nikuweka kwenye IGNORE
 
Inategemeana na mtu na mtu na mahali uishipo, nasikia wanaume wa Dar ndiyo wana wakati mgumu kwani kuna wengine mpaka wanafilwa tena hadharani kabisa na wengine wanafanya makusudi kutorudisha ili wabakwe.
Kheeeh hii mbna mpyaa, Lol
 
Inategemeana na mtu na mtu na mahali uishipo, nasikia wanaume wa Dar ndiyo wana wakati mgumu kwani kuna wengine mpaka wanafilwa tena hadharani kabisa na wengine wanafanya makusudi kutorudisha ili wabakwe.
Mkuu unamaanisha hapa? Wanafirwa na nani ili kulipa? Na hao wasiorudisha wanabakwa na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…