Utakuwa umefanya vizuri sana maana nakuharibia biashara yako ya mikopo ya simuππππJamaa ngoja nikuweka kwenye IGNORE
Hamuogopi kufatiliwa?Acha kusoma umbeya mitandaoni. Simu na router zinazotumia mtandao mmoja zinakuwa unlock na watu wanatumia mitandayo yote sembuse hizo simu za kitapeli?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapa nachunguza ipi itakayonifaa ni Xiaomi, Samsung au Infinix. Niifanyie manuvaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu unamaanisha hapa? Wanafirwa na nani ili kulipa? Na hao wasiorudisha wanabakwa na nani?Inategemeana na mtu na mtu na mahali uishipo, nasikia wanaume wa Dar ndiyo wana wakati mgumu kwani kuna wengine mpaka wanafilwa tena hadharani kabisa na wengine wanafanya makusudi kutorudisha ili wabakwe.
Nani anifuatilie JF? Hizo simu hata ukiingia Youtube kuna Tutorial kibao watu wanafanya kazi.Hamuogopi kufatiliwa?
Huyo hajui kitu usitumie nguvu kuwajibu watu kama Hawa mwananguNani anifuatilie JF? Hizo simu hata ukiingia Youtube kuna Tutorial kibao watu wanafanya kazi.
Simu za mikopo hadi za USA watu wanazichakachua wanatumia bure sembuse hizi za kausha damu?
Simu ya 1GB RAM, 3G na Internal storage 4GB kwa bei halisi ni laki moja na nusu ila hawa wa mikopo unalipia laki 5. Hapana
Duuuh basi watu ni majasiri sanaa.Nani anifuatilie JF? Hizo simu hata ukiingia Youtube kuna Tutorial kibao watu wanafanya kazi.
Simu za mikopo hadi za USA watu wanazichakachua wanatumia bure sembuse hizi za kausha damu?
Simu ya 1GB RAM, 3G na Internal storage 4GB kwa bei halisi ni laki moja na nusu ila hawa wa mikopo unalipia laki 5. Hapana
upo?Kheeeh hii mbna mpyaa, Lol
Nimejiuliza hata mimihaya umeandika ukiwa na akili timamu au una msongo wa mawazo?
Akili timamu kabisa, vipi ulitakaje kwani?haya umeandika ukiwa na akili timamu au una msongo wa mawazo?
Wenye mali ndiyo wanawafila hao mazwazwa waitwao wanaume wa DarMkuu unamaanisha hapa? Wanafirwa na nani ili kulipa? Na hao wasiorudisha wanabakwa na nani?
Nakubali mkuuπMikopo ni utapeli.
Mtu kakopeshwa tv ya nchi 43 ambapo anatakiwa alipe milion 1 na laki 3 kwa mwaka. Tv yenyewe ni foxπππ. Siingilii maisha ya mtu ila hawa wa mikopo ni matapeli.
Kama kuna namna kopa simu ya mkopo, unlock utumie free. Hapo wizi ni wizi
Sema wanaokopa wengi naona ni waajiriwa, wanaona hamna shida maana kila mwezi mzigo unaingia. Ukiajiriwa sometimes unajisahau sana.Simu ya laki mbili na nusu unalipa mkopo 400000 ukijumlisha na simu 250000.
Tanzania ndio nchi pekee zenye riba za ajabu ambazo kila tapeli uvutiwa kuwekeza hapa kumnyonya mwananchi.
We jamaa nimekushtukiaπ Ndio unayetuuzia simu za mikopo. Simu za mikopo ni utapeli mtupu, sema mna bahati wateja wenu wengi wameajiriwa. Bila hivyo mngekuwa mmefilisika.Sawa tapeli nenda kawatapeli nakusubiria pale Ukonga Keko Segerea