BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Agizo hilo limewataka Wafanyakazi wa Magereza kutotumia 'Smartphone' muda wote wakiwa kazini kwa maelezo kuwa Wafungwa wanaweza kutumia msisimko wa Soka kutoroka.
Msemaji wa Magereza Frank Baine amesema "Wafanyakazi wote hawatakiwi kuripoti kazini na Simu kwa sababu zinavuruga umakini na kupunguza kiwango cha tahadhari".
Uganda imewahi kuripoti matukio mawili ya Wafungwa zaidi ya 700 kutoroka Gerezani Mwaka 2006 na 2020. Kwa mujibu wa takwimu, Nchi hiyo ina zaidi ya Wafungwa 6,000 Magerezani.
====================
Ugandan authorities on Monday banned prison staff from using mobile phones during the World Cup, warning inmates might exploit the "excitement" surrounding the football tournament to escape.
"Commencement of the World Cup football tournament on 20th November 2022 and its excitement may result into prisoners' escape," Uganda prisons spokesperson, Frank Mayanja Baine, said in a statement released on Monday.
"Staff must not report for duty with phones, for they distract attention and interfere with the level of alertness," Baine said, ordering officials to raise security in areas "where prisoners may be watching football".
Large-scale jail breaks are common in Uganda's often overcrowded prisons.
In September 2007, more than 200 prisoners escaped from a maximum-security jail in northeast Karamoja region.
In 2006, 500 escaped from a prison facility in the West Nile region of Arua.
Uganda has over 6,000 inmates in its prison facilities, according to official records.
NATION
Msemaji wa Magereza Frank Baine amesema "Wafanyakazi wote hawatakiwi kuripoti kazini na Simu kwa sababu zinavuruga umakini na kupunguza kiwango cha tahadhari".
Uganda imewahi kuripoti matukio mawili ya Wafungwa zaidi ya 700 kutoroka Gerezani Mwaka 2006 na 2020. Kwa mujibu wa takwimu, Nchi hiyo ina zaidi ya Wafungwa 6,000 Magerezani.
====================
Ugandan authorities on Monday banned prison staff from using mobile phones during the World Cup, warning inmates might exploit the "excitement" surrounding the football tournament to escape.
"Commencement of the World Cup football tournament on 20th November 2022 and its excitement may result into prisoners' escape," Uganda prisons spokesperson, Frank Mayanja Baine, said in a statement released on Monday.
"Staff must not report for duty with phones, for they distract attention and interfere with the level of alertness," Baine said, ordering officials to raise security in areas "where prisoners may be watching football".
Large-scale jail breaks are common in Uganda's often overcrowded prisons.
In September 2007, more than 200 prisoners escaped from a maximum-security jail in northeast Karamoja region.
In 2006, 500 escaped from a prison facility in the West Nile region of Arua.
Uganda has over 6,000 inmates in its prison facilities, according to official records.
NATION