Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
MUME: Mkewangu naumwa sana nasikia maumivu makali sana kwenye moyo naomba upige simu gari la wagonjwa lije,
MKE KAICHUKUA SIMU YAKE FASTA: Haya naomba password ya simu yako
MUME: Ok basi acha najisikia vizuri acha tu hamnashida nimeanza kujisikia vizuri 😛😛😛
PS: ILA MIMI NA Madam B tumeshatoka huko simu ni mezani kila mtu akitaka atumie ya mwenzie na akae nayo. ila kama na wewe jasiri jaribu kuacha simu kwa mtu wako halafu uende mjini utaijia jion
MKE KAICHUKUA SIMU YAKE FASTA: Haya naomba password ya simu yako
MUME: Ok basi acha najisikia vizuri acha tu hamnashida nimeanza kujisikia vizuri 😛😛😛
PS: ILA MIMI NA Madam B tumeshatoka huko simu ni mezani kila mtu akitaka atumie ya mwenzie na akae nayo. ila kama na wewe jasiri jaribu kuacha simu kwa mtu wako halafu uende mjini utaijia jion