Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 448
- Thread starter
- #21
Kata kidevu huyo mzee
Sometimes anakuja amevaa suti niliyomnunulia lakini bado ananuna sasa sijui ana maana gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kata kidevu huyo mzee
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu
Hata nilipompa ujauzito binti yake kabla sijamuoa mzee aliwahi kuniambia namtaka mwanae ili nipate ahueni ya kimaisha, lakini sikuwahi kumuomba hata chumvi huyu mzee mwenye mwenye tuhela twa tia maji tia maji.
Mtoto wake na mama mkwe wananipenda sana lakini dingi kauzu dagaa kama mwarabu fighter nipeni ushauri wazee au nimkate kidevu.
By mdau mmoja hapa Dar
Inaonekana hujawahi Kumpa baba mkwe pesaAnaninyima raha kiongozi yaani tukibaki wawili no story ni mikausho tu
[emoji23][emoji23]we jamaa ni falaAnakutafutia angle akutongoze
Yaani Tembo ashindwe kunywa Maji kisa kelele za chura? You're not seriousAnaninyima raha kiongozi yaani tukibaki wawili no story ni mikausho tu
Tatizo linaonekana ni kuwa wewe itakua unalelewa na Binti yao ,, chakufanya tafuta pesa ukitoboa ukawa na mkwanja kuliko Binti yao watakuheshimu laa sivyo hawawezi kukuheshimu
Hili ndio la msingi, wakwe wa dizaini hio ni kuwakazia tu mwanzo mwisho, tena kama una mazoea ya kumpigia simu kumsalimia achana nayo, akishapata wajukuu wawili watatu utamuona anabadilika mwenyewe.Huyo nenda naye kikauzu kama anavyofanya ipo siku uzalendo utamshinda atafunguka tu.