Alishasema hivihivi anashangaa alivyokondaUkute hata yeye mwenyewe hajielewi.
Cocaine shida yake ni kuua sana maana inapasua mishipa ya damuUnamaanisha kuwa cocaine ni nzuri haina shida bila shaka itakuwa inawekwa kwenye coca cola
Kesho kutwa nenda kanisaniKuna tofauti gani kati ya kuwa high na kulewa?
Mkuu lazima atajikuta user tu wa pesa na bila usimamizi wa mtu aliyesimama vizuri kichwani ataanguka tu.Samahani kwani amewahi kua bonge?
Mwenzio kawekeza pesa zina miminika tu afanye au asifanye mambo yanaenda tu
NDIO UZURI WA WAJENZI HURULabda mda wake aliopewa kushine unakaribia kuexpire hofu ni lazima